Kizimkazimkuu
JF-Expert Member
- Nov 8, 2007
- 337
- 234
Mi nazikumbuka hizi
Mariam
Nakonda kama mnazi kwa mapenzi niliyonayo,
Jina lako nakuota mchana kutwa sili ee
Moyo wanichechemea, mwili damu kauka eee
...na hiki kipande, katika Mola nalilia mtoto
Nakulilia mola wangu eee
Nakuwaza mola wangu eee eh
Yaliyonikuta ni makubwa naona haya
Mbona nateseka,
Wenzangu wana watoto mimi sina hata wa dawa eee
Yailah mtoto si nguo ningenunua
Mtoto ni mtoto kwa mama hakui iiih
hata angelikua ni kilema au mbaya kama remmy, n mtoto tu uuuh
Karibuni mnaozikumbuka tungo za nguli huyu aliyetutoka 2010.....
Mariam
Nakonda kama mnazi kwa mapenzi niliyonayo,
Jina lako nakuota mchana kutwa sili ee
Moyo wanichechemea, mwili damu kauka eee
...na hiki kipande, katika Mola nalilia mtoto
Nakulilia mola wangu eee
Nakuwaza mola wangu eee eh
Yaliyonikuta ni makubwa naona haya
Mbona nateseka,
Wenzangu wana watoto mimi sina hata wa dawa eee
Yailah mtoto si nguo ningenunua
Mtoto ni mtoto kwa mama hakui iiih
hata angelikua ni kilema au mbaya kama remmy, n mtoto tu uuuh
Karibuni mnaozikumbuka tungo za nguli huyu aliyetutoka 2010.....