Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
Nimefadhaika sana, nimedhalilishwa sana, nimeonewa sana katika hili..Tunahutubia nchi nzima na kusema waziri mkuu amefanya hiki, amefanya hiki, amefanya hiki..bila kumsikiliza..mi nadhani the wish which im going to grant ni uwaziri mkuu, nadhani tatizo ni uwaziri mkuu kwamba ionekane waziri mkuu ndio amefanya haya ionekane waziri mkuu ndio amefanya haya tumuondelee heshima au tumuwajibishe..nimetafakari sana kwa niaba ya chama changu kwa niaba ya serikali yangu nimeamua kumwandikia rais barua ya kumuomba niachie ngazi! - E.Lowasa