Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,062
- 731
Huu ni Wembe mkali (PEMASHAPU) juu ya mwili laini wa konokono.
Konokono wetu akijitikisa,akienda mbele,akirudi nyuma, pia akikaa pale palealipo, Wembe wetu unajisindiria ndani ya mwili wake na kuupasua vipande bila huruma.
Hatuna haja ya kuukandamiza wembe wetu mwilini mwake konokono, kwani kazi ya kujikata vipande vipande ni yake mwenyewe konokono.
Patamu ni pale tukichomoa wembe wetu na kuweka mseto wa Pilipili Mbuzi,chumvi na tui la mbilimbi.
Safari hii haokoki mtu ndani ya CCM wala serikali yake hatulali mpaka wote waibusu ardhi kwa ndimi zao.
Si mawe tu, hata kokoto moja haitaachwa imesimama juu ya kokoto.
Konokono wetu akijitikisa,akienda mbele,akirudi nyuma, pia akikaa pale palealipo, Wembe wetu unajisindiria ndani ya mwili wake na kuupasua vipande bila huruma.
Hatuna haja ya kuukandamiza wembe wetu mwilini mwake konokono, kwani kazi ya kujikata vipande vipande ni yake mwenyewe konokono.
Patamu ni pale tukichomoa wembe wetu na kuweka mseto wa Pilipili Mbuzi,chumvi na tui la mbilimbi.
Safari hii haokoki mtu ndani ya CCM wala serikali yake hatulali mpaka wote waibusu ardhi kwa ndimi zao.
Si mawe tu, hata kokoto moja haitaachwa imesimama juu ya kokoto.