mwankuga
JF-Expert Member
- Aug 30, 2010
- 334
- 120
Tarehe 26 Februari,1982 Ndege ya Tanzania,Boeing 737,ikiongozwa na rubani Kapteni Deo Mazula ilipaa angani saa 11:20 kutoka uwanja wa ndege wa Mwanza kuelekea Dar es Salaam (takribani 90dk,maili 500),ilitekwa na vijana waliojiita ni wanaharakati wa ukombozi ikiwa ni njia ya kumshinikiza Mwalimu Nyerere ajiuzulu,ikaishia kutua Uingereza baada ya kusafiri kwa maili 9500.
Nawatakia mlo mwema wakuu
Nawatakia mlo mwema wakuu