kichwat
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 1,819
- 587
Kulikuwa na basi moja linaenda mbeya miaka ya 90, dereva wake alikuwa anaitwa Giriki.Hilo basi bwana ni mwendo mwendo
Kiswele hiyo, ilikuwa habari nyingine.
Kulikuwa na basi moja linaenda mbeya miaka ya 90, dereva wake alikuwa anaitwa Giriki.Hilo basi bwana ni mwendo mwendo
Kamujingi jingi.
Kamujingi jingi.
embakassy,Kiswele injini nyuma hapo ogopa ndio lagombewa kama sukari enzi za RTC!
wapi Madamba ruti ya Songea?
Kulikuwa na basi moja linaenda mbeya miaka ya 90, dereva wake alikuwa anaitwa Giriki.Hilo basi bwana ni mwendo mwendo
Wadau haswa lale lalioenda umri kidogo, hebu tukumbushane mabasi yetu ya zamani. Mengi yalikuwa ni Leyland.
Nakumbuka Njuweni, Masama Clif na Masama Safari, Yarabi Salama na Yarabi Toba,
sai baba
Kulukuwa na mabasi yanaitwa Zafanana sifahamu yalikuwa yanaenda wapi