Hoja zinaeleweka sana 2: Haya uliyo-orodhesha hapa JK hajayaanzisha wala kuyaendeleza, mfanyo ujenzi UDOM, hii shughuri aliikuta inaendelea aliyeianzisha ni Ben, Ujenzi wa barabara ipi? Kuongezeka kwa mindo mbinu ya elimu wakati ameanzisha shule za kata zisizokuwa na waaalimu, miundombinu ya elimu ipialiyoongeza wakati wadogo zetu wameshindwa kama nini. MWAKA HUU NI CHADEMA 2 HATA KAMA CCM WATAIBA, LAKINI TUTAKUWA HATUJAWACHAGUA, BALI WAMEJIPA MADARAKA WENYEWE. Ni sawa na nyumbani baba unapokosa heshima kwa watoto na mama yao, halafu ukatumia ubabe kwa kuwa tu wewe ni baba, haipendezi hata kidogo.
Mmmh....Unanikumbusha "kuna 15% ya watu watakuchukia tu ata ufanye nini" JK