Tujikumbushe Kikwete alivyoshuhudia udhalilishaji wanawake nchini Malawi

Hii ni mila ya kule. Wanawake lazima wapige magoti mbele ya wanaume au machief. Chiefdom system bado iko active na inaheshimiwa sana. Kwa wao hilo sio tatizo.
 
Hata sisi wajita tunafanya hivo, inaonekana kwenu mila kama hizi haziko hii ni heshima na malezi bora kwa watoto wa kike.

Hata kama ni mila ila zingine hazifai bwana. Mimi kwetu anapindisha goti anakupatia wewe unaendelea kunywa wakati yeye afanya mambo mengine
 
Ila kiukweli mila nyingine zinadhalilisha wanawake!Halafu Rais wetu alifurahia sana kupigiwa magoti na Waziri mzima wa Malawi eti tu kwa kuwa mwanamke! JK aliandika namba '4' kwa miguu yake kuonyesha msisitizo wa furaha ya kupigiwa magoti!Ajabu!Rais alitakiwa amzuie mama yule kupiga magoti ili kuonyesha kwamba anapinga udhalilishaji huo!
 
hizi ni mila mkuu, na inabidi atembee kama hatua tano kwa magoti kabla hajakufikia kukusalimia. Mimi kuna demu nlikua natongoza pale Uganda, lakini tulipokutana sokoni alinipigia magoti kunisalimia hadi nikaona aibu ikanibidi nichuchumae. sababu akishakusalimia hasimami, anaendelea kupiga stori kama kawa.
 
Hiii haijakaa sawa kwa kweli, yaani dada wa watu akupige magoti wee mkapa umalize, huku wewe ukipiga soga?

Mkuu Chamoto hizo ni mila zetu na zisionei aibu japokuwa Ananilea Nkya akisikia ama akishuhudia atasema ni unyanyasaji wa wanawake.
 
Last edited by a moderator:
8E9U4907.JPG
Waziri wa zamani wa mambo ya nchi za nje wa Malawi Etta Banda(aliyepiga magoti, kulia) akimkaribisha rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa staili ya namna yake mnamo Desemba 2010. Inaonekana Kikwete alipenda sana utukufu huu ambao kimsingi ni udhalilishaji kwa mwanamke. Huenda ndiyo maana amerejea Malawi kumzika Mutharika baada ya kuweka shada la maua kwenye kaburi la mkewe miaka miwili iliyopita.

Huo sio udhalilishaji bali ni mila.

Tembeeni muone na mtajifunga mengi. Pitia kule usukumani utaona mengi sana kama hayo na zaidi ya hayo. Kwani kwao ni sehemu za mila yao.

Tena ukitaka kufurahi ombe akupe maji ya kunywa.

 
Hiyo ni Mila yakawaida kwa waafrika wengi.Wahaya wasukuma mashubi waganda wanyankole etc ni mambo ya kawaida kupiga goti hasa kwa mkuu au mme.

Kumbuka mila na desturi zinatofautiana kadri ya kabila na kabila.
 
8E9U4907.JPG
Waziri wa zamani wa mambo ya nchi za nje wa Malawi Etta Banda(aliyepiga magoti, kulia) akimkaribisha rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa staili ya namna yake mnamo Desemba 2010. Inaonekana Kikwete alipenda sana utukufu huu ambao kimsingi ni udhalilishaji kwa mwanamke. Huenda ndiyo maana amerejea Malawi kumzika Mutharika baada ya kuweka shada la maua kwenye kaburi la mkewe miaka miwili iliyopita.

hizo chuki hamna jipya cjaöna cha ajabu sema umezoea kumkandia jk tafuta mengine kwa hili umezidi
 
Uliona wakati wa Uchaguzi mwaka 2010? Wagombea wengine walikuwa wanapiga magoti kuomba kura kama huyo mama!
 
Hiii haijakaa sawa kwa kweli, yaani dada wa watu akupige magoti wee mkapa umalize, huku wewe ukipiga soga?
Kama hiyo ni miongoni mwa mila mbaya mi nataka hii mila rafiki yako wa kike (si Kimapenzi bali kijamii) kuendelea kutaka kulipiwa unapokuwa nae kwenye burudani na mambo mengine hata kama na yy yuko njema tu mradi we ndo dume watakufyonza tu mpaka unauhisi mfyonzo !
 
Kashangaeni Zambia, wanaume pia wanapiga magoti! Mimi nina shemeji yangu ambaye huwa ananipigia magoti akinisalimia ingawa mimi ni mdogo kwake kiumri! LOL!!!:smile:
 
Haya mambo wakati mwingine ni magumu kuelewa. Hivi huyo mama anawapigia magoti wanaume wote walio chini yake wizarani au ni akina JK tu?

Halafu, Joyce Banda naye atakuwa amempigia magoti JK this time?

Babu DC!!
 
Back
Top Bottom