Tujikumbushe: Bibi Titi alivyomwaga fedha kumuua Nyerere

sidhani kama JF ipo kwa ajiri ya ku judge uzao wa mtu..

OK,NAITWA SOMJI JUMA MALEKANI,MTU WA MBEYA,KABILA NI MSAFWA,KWENYE UKOO WETU HAKUNA MTU MUISLAMU WALA MUHINDI..
KULE MBEYA MAJINA WANATOA TU HAWAANGALII DINI,YANI USISHANGAE UKIKUTA MKRISTO ANAITWA SAID,MUSA etc..

jina la kihindi nimepewa na wazazi wangu nilipozaliwa sijui mmaana yake au kwanini walinipa,lakini kwanini uoji jina langu tu.!kwani haya majina ya PETER,WILSON,etc.. ambayo waafrika tunayatumia mbona sio asili ya afrika lakin mbona hujahoji.?

NA BAADA YA KUKUJIBU HAYO ULIYONG'ANG'ANIA NIKUJIBU UMEFAIDIKA NINI HASWAA.?

NAKUSHUKURU KWA TUSI LAKO LA KUA MIMI NIMEZALIWA KWA BAHATI MBAYA,INAELEKEA UNA UKARIBU NA MUNGU KIASI KWAMBA UNAJUA HUYU ALIZALIWA KWA MIPANGU NA HUYU KWA BAHATI MBAYA..

He teh teh teh teh! Yaani nyie wasafwa mnapeana majina yyt bila kujali asili yake?
Hii ndio naskia leo! Yaani SOMJI MALEKANI! teh teh teh teh teh!
Basi kama skosei mtoto wa baba yako mdogo anaitwa CHAVDA UFALANSA!
teh teh teh teh!
Waambie wazee wako kuwa mara nyingi tabia za mtoto zina kawaida ya kufanana na Jina lake!
Sasa si unaona kama wewe!
Tabia yako imechanganyika ya kihindi na ki safwa! Matokeo yake unatokwa mapovu ovyo ovyo!

We mi nakushauri badili jina haraka kabla hujakosa mchumba!
 
he teh teh teh teh! Yaani nyie wasafwa mnapeana majina yyt bila kujali asili yake?
Hii ndio naskia leo! Yaani somji malekani! Teh teh teh teh teh!
Basi kama skosei mtoto wa baba yako mdogo anaitwa chavda ufalansa!
Teh teh teh teh!
Waambie wazee wako kuwa mara nyingi tabia za mtoto zina kawaida ya kufanana na jina lake!
Sasa si unaona kama wewe!
Tabia yako imechanganyika ya kihindi na ki safwa! Matokeo yake unatokwa mapovu ovyo ovyo!

We mi nakushauri badili jina haraka kabla hujakosa mchumba!


sioni mantiki ya kunijadili ubinafsi wangu.!

Naanza kuhisi una mapungufu ya akili,tulikua tuna discuss hii thread,ukataka kujua mambo yangu binafsi nimeshakwambia sasa turudi kwenye mada unaishia kunitukana.!

Kama majina yana akisi tabia basi nahisi wewe unaitwa matatizo..
 



Barkat Al Eid, Al Akhiy Faby.

Insha Allah, shukran zoote za haki zimfikie Mola wetu mtukufu,anayetujaalia karima hizi na kutusaidia pumzi yake hii tukufu tuvutayo kila sekunde;ili kuwajibu kiduchu na kuwafunua macho hawa "jamaa zetu"!

Wala usitaharuki Al Akhiy,kwa hayo matusi,kashfa na karaha zao zilozagaa takriban kwenye kila thread humu Jf... nasi tutakwenda nao hivihivi mpaka wacheue! Kwi ! Kw! Kwi!

Kwa sasa hivi;wameanzisha hata childish tactic ya kuwaomba hao jamaa zao Mods wawafungulie mpaka thread/s nyingine kadhaa tena za miaka ya nyuma/zilipendwa!?....ama kwa hakika wana shughuli ilo pevu mno! Kwi! Kwi! Kwi!

Kama wanataka/wataleta mijadala ya hishma na staha;sisi tutayari mno maana ndo dasturi na makuzi yetu...la' wanataka makhanatha na tashtit basi "inatulazim" twende nao kihivyohivyo! Kwi! Kwi! Kwi!

Ma'salaam!

Ahsanta.
 
He teh teh teh teh! Yaani nyie wasafwa mnapeana majina yyt bila kujali asili yake?
Hii ndio naskia leo! Yaani SOMJI MALEKANI! teh teh teh teh teh!
Basi kama skosei mtoto wa baba yako mdogo anaitwa CHAVDA UFALANSA!
teh teh teh teh!
Waambie wazee wako kuwa mara nyingi tabia za mtoto zina kawaida ya kufanana na Jina lake!
Sasa si unaona kama wewe!
Tabia yako imechanganyika ya kihindi na ki safwa! Matokeo yake unatokwa mapovu ovyo ovyo!

We mi nakushauri badili jina haraka kabla hujakosa mchumba!


Dr Kahtaan

Salaam zilo nyingi zikufikie Maulana!

Yaani,tayari umeshaanza kunivunja mbavu! Kwi! Kwi! Kwi!

Kumbe huyo punda wa Somji ni kabila hilo!? Kwi! Kwi! Kwi!...

Nilikhis tu kutokana na fedhuli zake lazim atakuwa ndo kati ya walewale makanjanja alotuletea/kutuachia yule Nyerere na kutuambia ati hao ndo "wasomi"!? Kwi! Kwi! Kwi!

Unajua punde tu huyo punda wa Somji,katoka kuniachia matusi na kashfa kwenye thread ya upuuzi fulani wa "vita ya Uganda"...ati "amegundua" yakuwa mimi lazim ni wa kutoka Uganda sababu ati Kiswahili changu ni kibovu mno, naye hakukipenda!? Kwi! Kwi! Kwi!

Kipata fursa embu muulize Al Akhiy;hiyo picha aloweka kwenye hiyo avatar ni ya kwake!? Mbona kapendeza mno kuliko hao Waswafa/Wasafa wengine niwajuao!? Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta.
 
Dr Kahtaan

Salaam zilo nyingi zikufikie Maulana!

Yaani,tayari umeshaanza kunivunja mbavu! Kwi! Kwi! Kwi!

Kumbe huyo punda wa Somji ni kabila hilo!? Kwi! Kwi! Kwi!...

Nilikhis tu kutokana na fedhuli zake lazim atakuwa ndo kati ya walewale makanjanja alotuletea/kutuachia yule Nyerere na kutuambia ati hao ndo "wasomi"!? Kwi! Kwi! Kwi!

Unajua punde tu huyo punda wa Somji,katoka kuniachia matusi na kashfa kwenye thread ya upuuzi fulani wa "vita ya Uganda"...ati "amegundua" yakuwa mimi lazim ni wa kutoka Uganda sababu ati Kiswahili changu ni kibovu mno, naye hakukipenda!? Kwi! Kwi! Kwi!

Kipata fursa embu muulize Al Akhiy;hiyo picha aloweka kwenye hiyo avatar ni ya kwake!? Mbona kapendeza mno kuliko hao Waswafa/Wasafa wengine niwajuao!? Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta.

Teh teh teh teh !
Al habiib gombesugu wallah wanivunja mbavu huku!
Mtoto wa somji hakuwahi kuadhiniwa huyu!
Hawa ndio wale vizazi vya bahati mbaya! Sasa kalaaniwa toka jina lake mpaka maneno yake!
Teh teh teh teh!

Angelijua kiswahili safi mzazi wake angemwita SOMJI JUMA MALEKANI???
Teh teh teh teh teh! Kwi kwi kwi kwi!

Majina yao hawa kama mitishamba!
:D:D:D:D
 
Last edited by a moderator:
Huyu Bi Mkubwa Bibi Titi alifanyiwa fitna nyingi sana watu wanakaririshwa uongo mwingi kuhusu Bibi Titi.
[h=1]Bibi Titi Mohammed[/h] Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Bibi Titi Mohammed (1926 - 5 Novemba 2000) alikuwa mmoja wa wanawake wa kwanza kushika nafasi za ubunge na uwaziri nchini Tanzania. Pia alikuwa kati ya wanawake wa kwanza kujiunga na harakati za kugombea uhuru wa Tanganyika.
Mwaka 1969 Bibi Titi Mohammed alikamatwa na mwaka uliofuata alifikishwa mahakamani kwa kosa la kula njama ya kutaka kupindua serikali. Katika kesi hiyo, Bibi Titi alikuwa ni mwanamke pekee katika washtakiwa 7. Baada ya kesi hiyo kusikilizwa alipatikana na hatia na kuhukumiwa kifungo cha maisha. Hata hivyo, mwaka 1972 alisamehewa na rais Julius Nyerere.

Juu ya kutolewa kwake, Mohammed aliongoza maisha yake akiwa mpweke. Mume wake alimtelekeza wakati wa kesi, ushirika wake wa kisiasa ukanyang'anywa, na marafiki zake wengi wakamlani.
Mnamo mwaka wa 1991, wakati Tanzania ikisherekea miaka 30 ya uhuru, Bibi Titi ameonekana kwenye makaratasi ya chama tawala kama "Shujaa wa Kike Aliyepigania Uhuru".
Mnamo tar. 5 Novemba 2000 Mohammed amekufa kwenye hospitali ya Net Care Hospital mjini Johannesburg ambapo alikuwa akitibiwa.[SUP][1][/SUP]
Moja kati ya mabarabara makubwa ya mjini Dar es Salaam yamepewa jina la Mohammed kwa heshima ya mafaniko makubwa aliyoyafanya wakati wa mbio za kutafuta uhuru wa Mtanzania.
Hapa chini soma kidogo kisha cha ugomvi wa Nyerere na Bibi Titi.
Sasa mwaka wa 1968, Bibi Titi na Tewa walipokwenda kumuona Nyerere kuhusu jambo lililokuwa linawahusu Waislam, Nyerere alikuwa amejitayarisha vyema. Kiwanuka ameueleza mkutano huu vizuri sana:

Viongozi hawa wawili wa Waislam walimueleza Mwalimu masikitiko yao jinsi radio ya serikali na magazeti ya TANU yalivyokuwa yakiandika habari kuhusu matatizo yale ya Waislam. Walidai kuwa TANU ilikuwa ikichanganya dini na siasa. Waliokuwa wakimtahadharisha kuhusu jambo hilo hawakuwa wengine ila marafiki zake wa zamani na wa kutumainiwa, Tewa na Bibi Titi. Marafiki wa kutumainiwa kwa sababu ilikuwa Titi aliyemuunga mkono Nyerere katika siku za mwanzo za TANU, pale Suleiman Takadir - mmoja wa wazee wa TANU - aliposema kuwa TANU ilikuwa na Ukristo kama Mwalimu na Rupia, rais na makamo wake walivyokuwa Wakristo. Yeye mwenyewe akiwa Muislam hasa, aliipatia TANU ushindi kwa kuthibitisha kuwa Tanzania, Tanganyika kama ilivyokuwa ikijulikana wakati ule, ilikuwa mbele, na Uislam unafuata nyuma. Leo, alikuwa anazungumzia jambo ambalo yeye mwenyewe alilishinda katika miaka ya 1950. Jibu walilopata kutoka kwa Mwalimu lilikuwa la kusisimua. Mpashaji wangu habari anasema lilikuwa jibu la mkato. 'Mmeamua kunipiga vita, jiandaeni.' [SUP]54[/SUP]
Mwalimu Nyerere alikuwa anawaambia Tewa Said Tewa na Bibi Titi Mohamed uso kwa macho wajiandae kwa kile kilichokuwa dhahiri: vita ya msalaba dhidi ya umoja wa Waislam. Sheikh Suleiman Takadir aliyaona haya na aliiomba TANU toka mwaka wa 1958 pawepo na uhakika kuwa Wakristo hawatakuja kuwafanyia uadui Waislam pale Waislam watakapokuwa sasa wanataka kugawana madaraka ya kuongoza nchi sawa na Wakristo baada ya uhuru. Tewa Said Tewa, muasisi wa TANU, waziri katika serikali ya kwanza ya uhuru, balozi katika Jamuhuri ya watu wa China na Rais wa baraza la Tanzania la EAMWS, pamoja na Bibi Titi, mwanamke aliowakusanya wanawake wote nyuma ya Mwalimu Nyerere na TANU, walikuwa wakisemwa na Nyerere kama vile watoto wadogo wa shule waliokuwa watukutu kwa sababu tu, walikuja kumfahamisha Rais kuhusu kukiukwa kwa maadili ambayo ilihitaji yeye ashughulikie mara moja na kutoa uamuzi.
Ulipofika mwezi Oktoba, 'mgogoro' ukachukua mwelekeo mpya pale Makamo wa Rais wa Tanzania, Abeid Amani Karume, alipoishambulia EAMWS kuwa ni chombo cha unyonyaji. [SUP]55[/SUP] Kutokea hapo Karume akawa anafanya mashambulizi na kutoa shutuma kwa EAMWS, wakati mwingine akijaribu kufananisha uhusiano wa EAMWS na Waislam katika mtazamo wa Ki-Marxist, akidai kuwa jumuiya ile kilikuwa 'chombo cha makabaila wakubwa na kilikuwa chini yao kikiwanyonya watu wa chini'. [SUP]56[/SUP] Mgogoro ulipozidi kukua mashambulizi yakahama sasa kutoka EAMWS na kuhamia kwenye mafunzo ya msingi katika Qur'an Tukufu. Katika mkutano wa hadhara Zanzibar, Karume alitoa changamoto kwa Muislam yeyote ajitokeze bila ya woga kupinga kauli zake mbili kuwa 'Hakuna tofauti kati ya Uislam na Ukristo', na 'Kufunga siyo lazima'.

Lakini juu ya mashambulizi dhidi ya uongozi wa Waislam kutoka serikalini, Nyerere alikuwa hana uwezo wa kumgusa Mufti Sheikh Hassan bin Amir. [SUP]57[/SUP] Sheikh Hassan bin Amir alikuwa na nguvu sana kiasi cha kwamba si Nyerere au yeyote yule kuweza kumgusa kwa wakati ule. Sheikh Hassan alikuwa kwenye siasa kabla ya vijana waliokuwa katika TANU na nafasi yake katika umma wa Kiislam na uzalendo wake ulikuwa hauna shaka. Sheikh Hassan bin Amir aliingizwa TAA kwa mara ya kwanza mwaka 1950 na Abdulwahid Sykes akiwa mwanakamati katika Kamati ndogo ya siasa ya TAA. Kwa ajili hii basi, akawa mmoja wa wale waliotia sahihi ile memorandam iliyotayarishwa na TAA kwenda kwa Gavana wa Tanganyika, Edward Twining kuhusu mabadiliko ya katiba ya Tanganyika.
 
Mujitahid faby,

Hebu soma hizi bayana za Bi mkubwa hapa chini.

TUNAPOTAJA waasisi wa Taifa letu, majina yanayosikika ni ya wanaume. Lakini ukweli ni kwamba, hata wanawake walitoa mchango mkubwa wakati wa kupigania uhuru wa taifa letu.
Kati ya wanawake wanaotajwa ni BibiTiti Mohamed. Ingawa kuna jitihada za makusudi kuhakikisha jina hili linafutika na kusahaulika, bado mzimu wa mama huyu unajitokeza na kuendelea kutuchokoza ili tuendelee kuchimba, kutafiti hadi ukweli uwekwe wazi na mama huyu apate heshima na nafasi kubwa miongoni mwa waasisi wa taifa letu.
Bibi Titi Mohamed ni mmoja wa viongozi wazalendo waliokuwa na nguvu, uwezo mkubwa na umuhimu wa pekee nchini Tanzania. Wale walio waaminifu wa historia ya taifa letu, wanasema baada ya Mwalimu Nyerere, alifuata Bibi Titi, kwa mvuto, uwezo wa kuongoza, upeo na uzalendo.
Alizaliwa Dar-es-Salaam mwaka 1926, baba yake alijulikana kama Mohamed bin Salim, alikuwa mfanyabiashara na mama yake Hadija Binti Salim alikuwa mkulima na mama wa nyumbani.
Hawa wazazi wa Bibi Titi, walitokea Rufiji, mama yake alijulikana kama Mmatumbi mwenye nguvu za kuogofya.
Bibi Titi alisoma shule ya msingi kwa miaka minne tu. Hilo halikuwa jambo la kawaida hata kidogo kwa msichana wa Kiislamu katika miaka ya 1930.
Wakati ambapo wasichana wa kizazi chake walishiriki katika vikundi vya ngoma, ni wachache mno walioweza kuwa waimbaji na kuigiza pamoja na haiba kubwa.
Hivyo, pamoja na kwamba alikuwa ni mwanamke wa kawaida wa mjini, Bibi Titi alikuwa na silika iliyomwezesha kushirikiana na kukaa na wenzake, na hivyo kuweza kuwahamasisha na kuibuka kuwa kiongoizi.
Bibi Titi alitambua uwezo wake, na kufikia mwishoni mwa mwaka 1955, alikuwa kiongozi muhimu wa TANU.
Alikuwa ameonesha wazi uwezo wake wa kuhamasisha makundi makubwa ya Waafrika walioishi Dar-es-salaam ili kuunga mkono harakati za kizalendo.
Bibi Titi alipohutubia mkutano wa kwanza wa Kitengo cha Wanawake cha TANU, Julai 8,1955, wanawake 400 walijiunga na chama. Kufikia Oktoba mwaka huo walishafika wanachama 5,000 walioingizwa kwenye chama na Bibi Titi.
“Nawaambieni kwamba tunataka uhuru, na hatuwezi kupata uhuru kama hamtaki kujiunga na chama.
Tumewazaa wanaume wote hawa. Wanawake ndio nguvu ya dunia hii. Sisi ndio tunaozaa dunia. Nawambia kwamba inatubidi kujiunga na chama kwanza..” (Bibi Titi – Wanawake wa Tanu uk 37)
“Niliweza kusafiri kwa miezi mitatu mfululizo, Ningeweza kuwa Mwanza, halafu nikaenda Musoma ambapo ningepata telegram iliyonitaka niende Dodoma. Nikiwa Dodoma Napata telegram nyingine kwenda Mbeya…”
“Mimi sikujiunga na TANU nikitarajia chochote… Rafiki zangu walikuwa wananiuliza, unataka kuwa malkia wa nchi? Sikutaka kuwa malkia.
“Nilitaka kuwa huru. Sikutarajia chochote zaidi. Nilitaka kujenga nchi yangu, kufanya maisha yetu yawe bora, nilitaka elimu kwa watoto wetu, na nilitaka kupata ardhi… Wazungu walikuwa na mashamba makubwa na sisi tulikuwa vibarua tu. Vibarua katika nchi yetu? Kwa nini? Hilo mimi sikulipenda… nilitaka maendeleo kwa watu..” (BibiTiti –Wanawake wa TANU uk 41).
Hivyo Bibi Titi, alitembea nchi nzima ya Tanzania, akiwahamasisha wanawake na wanaume kujiunga na TANU. Alifanya kazi bega kwa bega na Mwalimu Nyerere na wapambanaji wengine wa wakati ule wa kupigania Uhuru wa wa Tanganyika.
Alifanya kazi kubwa kuzidi hata wanaume wengine waliokuwa wakipigana kwa kujificha ili wasipoteze kazi zao serikalini.
Ndoa yake ilivunjika kwasababu ya kujihusisha na siasa “Boi mwenyewe aliniruhusu kuingia TANU, tena ndiye eliyenunua kadi yangu ya uanachama.
Sio hivyo tu, TANU ilimwandikia barua kumwomba nisaidie katika shughuli za TANU. Lakini mwishowe hizi safari zilimshinda. Nilikuwa nakaa nje ya nyumbani kwa miezi mitatu, na nikirudi naweza nisikae hata siku kumi kabla sijasafiri tena.
Boi akaniambia kwamba anataka kuoa mke mwingine. Nikamwambia sawa, niache na kazi yangu kwasababu nimeshaizoea…Kwa hiyo Boi akamuoa Khadija, lakini walishindwana, wakaachana.
Akaniambia kama nampeda niache hiyo kazi. Nikamwambia siwezi, kama unataka kuoa tena, endelea. Akakataa ,akasema nawezi kuoa tena. Nilifunga mizigo yangu nikaondoka..” (Bibi Titi- Wanawake TANU uk 45).
Katika maadhimisho ya uhuru wa Tanganyika kutoka kwa Waingereza, usiku wa Desemba 9,1961, Bibi Titi Mohamed na Julius Nyerere walikaa kwenye jukwaa moja, wakiwa pamoja na waheshimiwa wengine.
Kufuatana na wachambuzi wa historia ya Tanzania, ni kwamba wakati wa kupata uhuru yawezekana kuwa Nyerere na Bibi Titi walikuwa ndio viongozi pekee waliojulikana nchi nzima wakati Tanganyika inapata uhuru.
Uhuru wa kisiasa ndio ulikuwa lengo kuu kwa Bibi Titi na wanawake wanaharakati wa miaka ya 1950. Hata hivyo, uzalendo na nguvu waliyowekeza katika TANU haikuishia katika kuwapa nguvu ya dola. Waliwekwa pembeni na kushauriwa waingie jikoni, kutunza nyumba na kuwalea watoto.
Bibi Titi, aliponzwa zaidi na uwazi wake na msimamo wake wa mawazo. Alijisimamia na hakuwa na unafiki. Azimio la Arusha, lilijenga ukuta mkubwa kati yake na Nyerere na viongozi wengine wa TANU.
Yeye alikuwa wazi kuelezea wasi wasi wake juu ya Azimio la Arusha. Wengine, na hasa wanaume walilikubali Azimo la Arusha kwa unafiki na matokeo yake wanaume hao hao walilizika kule Zanzibar.
Kama kuna kosa kubwa alilolifanya Mwalimu Nyerere, ni kushindwa kugundua unafiki wa viongozi wanaume waliokuwa wamemzunguka na kushindwa kutambua na kukubali uwazi na uaminifu wa watu kama Bibi Titi waliokuwa na mawazo tofauti, lakini ya kizalendo na ya kujenga.
Tunaweza kusema kwamba Bibi Titi, ni kati ya watu waliopigania uhuru lakini hawakufaidi matunda ya uhuru. Wakati wenzake wakifurahia uhuru na kujilimbikiza mali kwa unafiki huku wakijificha nyuma ya siasa ya Ujamaa, yeye alikuwa gerezani. Alipotoka gerezani hakuweza kufurahi maisha, maana jamii ilikuwa inamnyanyapaa.
Dosari ya kuingizwa kwenye uhaini ilimchafua kiasi cha kujikuta anaishi bila kuwa na marafiki. Hata na wale walioshirikiana naye kupigani uhuru, walimwogopa.
Ni vigumu pia kuthibitisha kama maisha ya ukimya aliyoishi Bibi Titi nje ya siasa kwa miaka mingi baada ya kuachiwa, aliyachagua ama alishurutishwa kufanya hivyo.
Katika mahojiano na Ruth Meena baada ya kutoka kifungoni, Bibi Titi alieleza kuwa hakuwa huru sana kushiriki na wenzake kwa sababu walikuwa waangalifu mno wakiwa naye. Alitania akisema, “Mtu angeweza kufikiria kwamba nilikuwa na ugonjwa wa kuambukiza”
Bibi Titi alionesha kutoridhika kwake na sera ya chama wakati alipopinga kutofuatwa kwa demokrasia katika mchakato ulioambatana na kutangazwa kwa Azimio la Arusha Februari 1967. Pia, hakukubaliana na kipengele (a) sehemu ya 5 ya Azimio kilichohusu maadili ya uongozi. Hususan, hakukubaliana na kipengele kilichosema kwamba kiongozi wa TANU au serikali hawezi kumiliki au kupangisha nyumba.
Hakukataa kwa siri, na hivyo alijiuzulu kutoka Kamati Kuu ya Chama kwa mujibu wa maadili ya uongozi, kuliko aachie haki yake ya kujipatia kipato. Jambo hili lilielezwa katika vyombo vya habari, vikitoa picha iliyomwonesha Bibi Titi kuwa alithamini zaidi faida ya biashara na idadi ya nyumba zake kuliko kazi ya siasa chini ya TANU.
Lakini Bibi Titi mwenyewe, alijitetea kwamba alinunua nyumba moja kwa kuuza vito vyake vya dhahabu na nyumba ya pili alinunua kwa mkopo. Yeye alikuwa ameamua kujipatia hifadhi,kwake na kwa binti yake kwa njia hii, wakati washiriki wenzake waliamua kuoa wake wengi na kunywa pombe.
Msimamo huu wa wazi ulimwingiza matatani hadi akaingizwa kwenye mkumbo wa uhaini. Aliwekwa ndani miaka miwili na nyumba zake zilitaifishwa. Alipoachiwa kutoka ndani aliishi maisha ya taabu sana na kufanya biashara ya kuuza mafuta ya taa. Baadaye nyumba zake zilirejeshwa na mwaka 1985, Mwalimu Nyerere, alionyesha dalili za kumsamehe.
Hata hivyo, jina lake na mchango wake mkubwa wa kupigania uhuru vilipotea na kufunikwa!
 
Last edited by a moderator:
Duh!

Shukran nyingi zikufikie Maalim wangu kwa kunifungua macho!

Hata hivyo mimi nilikua nakhis kitambo yakuwa wengi ya hawa jamaa ati wajifanzao ni "wasomi" na waliojawa na chuki za kidini/Islamophobia, lazim watakua na vyeo kwenye hiyo Chadema yao au wanapata maelekezo kutoka kwenye ngazi za juu za uongozi wa hicho kikundi/chama chao...kumbe sikuwa wrong hata kiduchu!?

Mtu yeyote ambae atafuatilai/anafuatilia kwa utuvu na umakini,I mean objectively, humu Jf...basi haimchukui muda kuyakinisha/kugundua yakuwa kwenye hizo pattern ya argument Umesomeka akhy sisi yetu macho na masikio tu.
 
Mkuu!

As promised,lets me try a bit to amplify your suggestion! Ok!?

MfumoKristo has oppressed Muslims for decades in our Country and We are still suffering in general.

But,MfumoKristo organises further oppression within Muslim community carried by other Muslims aka Bakwata,such as patriarchy in particular.

So Bakwata are not innocent by-standers,they are agents of MfumoKristo by failing to fight it at all levels including at interpersonal levels.

We understand MfumoKristo to be at the very foundation of our government as created and planted by Nyerere himself!

You can't fight MfumoKristo without fighting against; Muslims socio-economic deprivation/marginalisation,Islamophobia,biased/unfair employment and developing skills,highly disproportional development within Muslims majority/inhabited areas,unequal representation in our government and other leading institutions as well as self-hate/arrogant Muslims at the same time.

We acknoweldge that the anti-Colonial struggle sacrificed by Wazee Wetu carried major dreams for liberation and We honour those who sacrificed supremely,in the course of those struggle,among them Hajat Al Marhum Bi.Titi Bint Mohammed.

However,Muslims we find very little to celebrate 50years after "Uhuru"!!?

Wazee Wetu,never intended to chase out Colonizers in order for us to suffer again under the government controlled and supervised by MfumoKristo.

The majority of Muslims condition in our Country, currently is a disaster zone. However,it's not Allah given situation nor a natural disaster.

We have arrived here because of systematic oppression,suppression and marginalization we had to endure for decades under Nyerere and consequently his legacy.

We focus on Tanzania as our immediate challenge...but,but we won't stop there!

The truth about Muslims and their suffering in our Country stands in front of us all;refusing to budge an inch and go away.

Few attempts have been made to conceal it,yet it audaciously persists;daring us all to see,hear,smell and touch its vulgar nakedness.

When Muslims are left with little or at some places/times no education,highly disproportional socio-economic mobility,biased employment and developing skills,no one can claim ignorance Sir!

This blatant thruth is our public secret...bearing in mind that as a Country,we're part of a global village.

It's this shared open secret that uphold the social and political bodies which benefit from the silence about Muslims predicament in our society.

That majority of Muslims are consigned to structural marginality in all spheres of social existence has become an accepted reality...it's even socially acceptable to say "Waislam hawajasoma" and/or "Waislam ni wavivu wa kusoma"!?

Muslims oppression has become institutionalized;we perceive our reality in a historical terms.

It has long been obvious that our society continues to favour "whitewash" as a solution to the multitude of sins committed against its Muslim population.

What about putting "part" of the blame where it belongs!?...

Now,I say; Nyerere and his legacy aka MfumoKristo is highly responsible for Muslims condition,and yes it's our responsibility to remove those conditions peacefully and intelligently.

But many of these condition/s require a collective of us as a Nation coming together. However,it keep coming back/reverts everyday,you know why!?

Cause the same MfumoKristo and its followers/defenders keep convincing us;they are not the real problem!? Kwi! Kwi! Kwi!

Call me his "praise-singer",if you will...but critics of Sheikh Mohammed Said will talk profusely about loads of shit and other unworthy stuff.

I'm yet to hear these critics give their considered view on the plight of Muslims in our society!?

Sheikh Mohammed Said is an intelligent,well educated,with excellent reputation,exposure and an unapologetic Scholar who knew Nyerere well,our history as well as he knows his own!

Lets stop wasting energies by cheap arguments and propagandas...it's about time we've sincere,meaningful and constructive debate as a Nation.

Again,we shall never fall silent,feed on denial and turn a blind eye to repulsive state of affairs.


Ahsanta.

Al habib gombesugu hii bayana yako hapa tosha kabisa! Mi sitii neno hata moja!
Ahsanta kutupa darasa ghali! Yafaa watu wakulipe kwa hizi data lkn kwa uungwana wako unawapa wagalatia darsa buure!!

Shukran maalim!
 
Last edited by a moderator:
hao waliomkaribsha nyerere kwenye mji,kwanini wao walikaa mda wote huo bila kupata uhuru mpaka alipokuja nyerere..

Kiukweli waislam mna akili flani hivi za ajabu sana ambazo mnarithishana kizazi hadi kizazi..

Na ndiyo maana mwinyi na kikwete ndo ma-rais wanaosifika kwa kupindisha nchi wakati mkapa na nyerere wanasifika kwa kunyosha nchi..
Sikiliza wewe Somji wa Chadema, mnadhani haya matusi yenu kwa Waislam yanaisaidia Chadema au yanaobomoa Chadema?

Endeleni mtakuta na Waislam kwenye uchaguzi ulivyokuwa hauna akili wewe ni Verified user tena umevaa t-shirt ya Chadema halafu unatukana Waislam.

Nyie ndiyo mtakaompa wakati mgumu Dr.W.Slaa. mbele ya jamii ya Kiislam wakati wa uchaguzi.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu!

As promised,lets me try a bit to amplify your suggestion! Ok!?

MfumoKristo has oppressed Muslims for decades in our Country and We are still suffering in general.

But,MfumoKristo organises further oppression within Muslim community carried by other Muslims aka Bakwata,such as patriarchy in particular.

So Bakwata are not innocent by-standers,they are agents of MfumoKristo by failing to fight it at all levels including at interpersonal levels.

We understand MfumoKristo to be at the very foundation of our government as created and planted by Nyerere himself!

You can't fight MfumoKristo without fighting against; Muslims socio-economic deprivation/marginalisation,Islamophobia,biased/unfair employment and developing skills,highly disproportional development within Muslims majority/inhabited areas,unequal representation in our government and other leading institutions as well as self-hate/arrogant Muslims at the same time.

We acknoweldge that the anti-Colonial struggle sacrificed by Wazee Wetu carried major dreams for liberation and We honour those who sacrificed supremely,in the course of those struggle,among them Hajat Al Marhum Bi.Titi Bint Mohammed.

However,Muslims we find very little to celebrate 50years after "Uhuru"!!?

Wazee Wetu,never intended to chase out Colonizers in order for us to suffer again under the government controlled and supervised by MfumoKristo.

The majority of Muslims condition in our Country, currently is a disaster zone. However,it's not Allah given situation nor a natural disaster.

We have arrived here because of systematic oppression,suppression and marginalization we had to endure for decades under Nyerere and consequently his legacy.

We focus on Tanzania as our immediate challenge...but,but we won't stop there!

The truth about Muslims and their suffering in our Country stands in front of us all;refusing to budge an inch and go away.

Few attempts have been made to conceal it,yet it audaciously persists;daring us all to see,hear,smell and touch its vulgar nakedness.

When Muslims are left with little or at some places/times no education,highly disproportional socio-economic mobility,biased employment and developing skills,no one can claim ignorance Sir!

This blatant thruth is our public secret...bearing in mind that as a Country,we're part of a global village.

It's this shared open secret that uphold the social and political bodies which benefit from the silence about Muslims predicament in our society.

That majority of Muslims are consigned to structural marginality in all spheres of social existence has become an accepted reality...it's even socially acceptable to say "Waislam hawajasoma" and/or "Waislam ni wavivu wa kusoma"!?

Muslims oppression has become institutionalized;we perceive our reality in a historical terms.

It has long been obvious that our society continues to favour "whitewash" as a solution to the multitude of sins committed against its Muslim population.

What about putting "part" of the blame where it belongs!?...

Now,I say; Nyerere and his legacy aka MfumoKristo is highly responsible for Muslims condition,and yes it's our responsibility to remove those conditions peacefully and intelligently.

But many of these condition/s require a collective of us as a Nation coming together. However,it keep coming back/reverts everyday,you know why!?

Cause the same MfumoKristo and its followers/defenders keep convincing us;they are not the real problem!? Kwi! Kwi! Kwi!

Call me his "praise-singer",if you will...but critics of Sheikh Mohammed Said will talk profusely about loads of shit and other unworthy stuff.

I'm yet to hear these critics give their considered view on the plight of Muslims in our society!?

Sheikh Mohammed Said is an intelligent,well educated,with excellent reputation,exposure and an unapologetic Scholar who knew Nyerere well,our history as well as he knows his own!

Lets stop wasting energies by cheap arguments and propagandas...it's about time we've sincere,meaningful and constructive debate as a Nation.

Again,we shall never fall silent,feed on denial and turn a blind eye to repulsive state of affairs.


Ahsanta.
Maulana gombesugu,

If people display bad character towards us, it should not make us drop our good character as a result....teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Huyu Bi Mkubwa Bibi Titi alifanyiwa fitna nyingi sana watu wanakaririshwa uongo mwingi kuhusu Bibi Titi.

Hapa chini soma kidogo kisha cha ugomvi wa Nyerere na Bibi Titi.



Shariff Ritz,

Salaam Al Akhiy.

Yaani hawa wabwasha hawana hoja wala wajuacho...yaani wao kutwa kucha shughuli zao ni kashfa na chuki za kidini!?

Watajuaje hawa history ya nchi hiyo au harakati za uhuru wetu!?...

Hata hao Wazungu wao wanaowathamini;mambo na khabar zoote walizoandika kuhusu history ya nchi hiyo ilibidi wakhadithiwe/wasimuliwe na walewale Wazee Wetu na ndugu zetu ambao leo hii hawa mabwasha ati wanathubutu kufunua vinywa vyao vichafu kuwatukana!

Duh! Yaani hawa jamaa hawajui kabisa maana ya Fadhila wal Ihsan!

Sasa hivi woote wameingia mitini...mbona hawaleti hizo "history" zao za kutunga hapa!?

Yaani hata wale Wazungu/"wavumbuzi" wao...wanawajua hao jamaa yakuwa ni "watupu".

Wajiulize katika ya hao Wazungu wao/"Historians" wanaowathamini wao...ina maana woote waliamua tu nao kutunga history za kizushi zenye kuonyesha na kuthamini mchango/harakati adimu za Waislam kwenye nchi hiyo,tena huku wakijua kabisa yakuwa kuna Wakristo wenzao ati ndo waliokua wamepigania huo "uhuru"!?

Yaani kama ni hivyo;basi hata yule Nyerere wao "mtakatifu" nae alikua na khitilaf za maarifa. Maana yeye ndo alokua kinara kutwa kucha "kusifia" na kukhadith mchango adimu wa Waislam kwenye ukombozi wa nchi hiyo na kwake mwenyewe binafsi....japo pembeni alikua akiamrisha waporwe mali zao na kufungwa!?

Kwanini sasa huyo Nyerere,hakuona hiyo michango ya Makasisi wa Huko Peramiho na kuitaja hadharani!?

Inajulikana wazi kihistoria yakuwa;Makasisi wa Peramiho na Viongozi wengine mbalimbali wa Makanisa mengine walikua wao wakivinjari tu na Wakoloni/mabwana zao wa kizungu...huku yule Nyerere akitaabika kwa dhiki na shida bega kwa bega na Wazee wetu.

Kama kweli huko mikoani/makanisani ndo kulikua na mapesa mengi mno na makanisa yalikua ati pia yalikua "yakijali" harakati za kuleta uhuru;hivi ingefikia kweli yule Nyerere asaidiwe mpaka,just a single bed to put his head!?

Chakula alikua hana kabisa na wanae,mpaka afuate Wazee Wetu pale sokoni ndo akafungiwe kitoweo na madikodiko mengine!

Hata baiskeli/usafiri pia mpaka ililazim itoke huruma na michango ya Wazee wetu!!

Sasa hayo mapesa ya mikoani na makanisani yalikua wapi wakti huo!?...huku mwenzao tena "mkristo mwenzao mtiifu" akitaabika na kusaidiwa na Waislamu/"watubaki", wapuuzi wasiojua hata kusoma,wacheza bao na wenye mabusha kama mnavyodai humu mtandaoni!?

Ahsanta sana
 
sioni mantiki ya kunijadili ubinafsi wangu.!

Naanza kuhisi una mapungufu ya akili,tulikua tuna discuss hii thread,ukataka kujua mambo yangu binafsi nimeshakwambia sasa turudi kwenye mada unaishia kunitukana.!

Kama majina yana akisi tabia basi nahisi wewe unaitwa matatizo..
Somji wa Chadema wewe tena unalalamika umetukanwa hebu jisome unavyomkashifu Bibi Titi...

acha umbumbu wewe..Ni sawa na kutaka chadema wamuenzi Juliana Shonza ...
Jisome tena hapa chini matusi yako.
hao waliomkaribsha nyerere kwenye mji,kwanini wao walikaa mda wote huo bila kupata uhuru mpaka alipokuja nyerere..
Kiukweli waislam mna akili flani hivi za ajabu sana ambazo mnarithishana kizazi hadi kizazi..

Na ndiyo maana mwinyi na kikwete ndo ma-rais wanaosifika kwa kupindisha nchi wakati mkapa na nyerere wanasifika kwa kunyosha nchi..
Halafu Yericko anatuita sisi wadini kwa sababu tunajibu ujinga wenu wa udini.
 
naona wazee wa madrasa wanatamba kwi kwi kwi
salaams gombesugu salaams sharifff salaams mr GOAT
me siku hizi sio sana kumechafuka sana hapa jamvini matusi ndio ada na sisi wanafunzi wa madassa haya kwetu ni haram lakini hawa jamaa wataelewa tu twende nao taratibu
samahani kwa uchechefu wangu huu
AHSANTA
CC: J . SINDE WArIOBA A.K.A MZEE WA KATIBA
 
Back
Top Bottom