Mie natafuta nyimbo za TOM MALANGA:
1.AMIGO
2.AFRO
3.BARUA.
Na pia natafuta nyimbo za yule mwanamziki mkongwe(marehemu kwa sasa)ni msambaa wa VUGA Lushoto na kwa jinsi nilivyokua nampenda mwaka 2010 nilisafiri mpaka kijijini kwao nikaliona kaburi lake.
wimbo wake ninao upenda zaidi unaitwa Mwisho wa mwezi.Hapa namuongerea EDDY SHEGGY.
Eddie Sheggy: Wimbo- Hakuweza ulezi. Bonge la nyimbo!
Pia: Julie, Shakaza, Penzi la Ulaghai, na Ukewenza( kulala sebuleni). Hizi aliziimba akiwa na Washirika Tanzania Stars.
Mwisho wa mwezi, ogopa tapeli, kapu la mjanja, wivu hizi na zingine aliziimba akiwa na Vijana Jazz.
Milima ya Kwetu- Huu aliuimba akiwa na super rainbow!