Tupo mwana, mi nilikatiza kwa Thind miaka ya tisini mwishoni (PCM), hivi Mr Katri bado yupo? ukisikia mwalimu msela ndio yule lakini Biology ya O level imetulia kichwani. Na Mr Mzee bado yupo?
Umenikumbusha mambo ya Food Bazaar, talent show na sports day (Kagera House, Ruvuma House na Rufiji House), mi nilikuwa napangwa kagera house karibu kila mwaka
Ahh umetukumbusha wakati yetu Mzizima...Sports day, food Bazaar, Variety Concert Diamond Jubille...Pangani House ilikuwa my house...Nilipika PCM 1994-1996..Mr Thind( Babu) alitufundihsa Mathematics, Mr Murrray Physics and Chemistry alitupigia Mr Champsi..Hiyo ilikuwa Kikosi Tishio hapo...Kila kitu ilikuwa rahisi..Nilipita shuleni mwezi wa Mei mwaka huu wakati wa likizo Bongo..Shule haadhi yake imeshuka sana..hakuna nidhamu wala nini...Mr Thind yupo London...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.