Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Kweli dunia inabadilika . Miaka 10, 15, 20 iliyopita mambo hayakuwa hivi. Mi nakumbuka nimelelewa na HG bila matatizo. Though kwa wastani kila baada ya miaka miwili ilibidi wazazi waagize HG kutoka kijijini.
Wakati kukiwa hakuna taasisi za kidali za watu hawa nawashauri wanaolazimika kuwa nao option ya kwanza watafute wahusika kutoka vijini kwao. Ukweli kila mtu kijijini au origin yake kuna familia/watu walio kwenye mazingira magumu. Bibi babu wa kijijini wakipewa kazi ya kukutafutia msaididi utapata msaididi ambaye japo unayo historia yake fupi.
Ingawa gharama ya mwenyeji wa kagera au Tabora kuleta mfanyakazi wa ndani inaweza kuwa kubwa san lakini kuna RISK kubwa utakuwa umepunguza.
Sio Vizuri nani kuwa na HG analea wewe hujui wala ndugu zako hawajui japo wazazi wake, mjomba wake ,shangazi yake nk ? Njia hii ina usalama kiasi fulani.
Wakati kukiwa hakuna taasisi za kidali za watu hawa nawashauri wanaolazimika kuwa nao option ya kwanza watafute wahusika kutoka vijini kwao. Ukweli kila mtu kijijini au origin yake kuna familia/watu walio kwenye mazingira magumu. Bibi babu wa kijijini wakipewa kazi ya kukutafutia msaididi utapata msaididi ambaye japo unayo historia yake fupi.
Ingawa gharama ya mwenyeji wa kagera au Tabora kuleta mfanyakazi wa ndani inaweza kuwa kubwa san lakini kuna RISK kubwa utakuwa umepunguza.
Sio Vizuri nani kuwa na HG analea wewe hujui wala ndugu zako hawajui japo wazazi wake, mjomba wake ,shangazi yake nk ? Njia hii ina usalama kiasi fulani.