birungi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 391
- 16
tujifunze kutoishi mbali na kwetu,ili iwe rahisi kurudi kutembea na kusalimia.
wachaga hawaendi mikoa ya mbali na moshi huwa wapo jirani kama dar ambako nauli ya chini inaanzia elfu 15 au 20.huwezi kukuta mchaga anaishi bukoba,kigoma au tabora akaenda uchagani kila mwisho wa mwaka.na ni wachache wanaoishi huko.
wachaga hawaendi mikoa ya mbali na moshi huwa wapo jirani kama dar ambako nauli ya chini inaanzia elfu 15 au 20.huwezi kukuta mchaga anaishi bukoba,kigoma au tabora akaenda uchagani kila mwisho wa mwaka.na ni wachache wanaoishi huko.