VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Cuba ilikuwa inapata mafuta kutoka Soviet Union, baada ya Soviet Union Kuanguka Kukawa hakuna njia ya kupata mafuta. Hapo ikabidi Cuba itafute njia mbadala.
Kuhusu shida ya Usafiri mabasi makubwa yaliandaliwa kusafirisha watu.... ambapo watu ilibidi wasubili mpaka masaa manne kungoja usafiri, waliagiza baiskeli 1.2 milioni kutoka China na nusu milioni kutengenezwa ndani ya nchi ili kupigana na ugumu wa usafiri. Pia usafiri wa Punda ulikuwa ni jambo la kawaida.....
Sisemi kwamba tuanze kutembelea punda na baiskeli kama Cuba walivyofanya ila kwanini tusijifunze kuishi na tulichonacho..... Kwanini tusifufue viwanda vyetu wenyewe viwanda vya viatu, nguo n.k. (ikowapi Bora, Mwatex n.k.) kwanini uniform za wanafunzi wanajeshi na wafanyakazi wa serikali visingekuwa vinatengenezewa nchini, kwahiyo kukuza ajira.
Kwanini Tununue maziwa kutoka Kenya na Uganda wakati n'gombe tunao na kusindika maziwa na kuyapack hakuitaji fedha za kigeni....
Lets learn to utilize our own things na hii sio kwa serikali tu hata wananchi inabidi tuwe patriotic, inabidi tuone sifa kuvaa nguo ya kitenge, batiki na kiatu cha katambuga sababu kinatengenezwa Tanzania (Hence tunakuza uchumi wetu) na sio Gucci, Versace, CK, Nike Adidas Just because vinatoka nje.
Kuhusu shida ya Usafiri mabasi makubwa yaliandaliwa kusafirisha watu.... ambapo watu ilibidi wasubili mpaka masaa manne kungoja usafiri, waliagiza baiskeli 1.2 milioni kutoka China na nusu milioni kutengenezwa ndani ya nchi ili kupigana na ugumu wa usafiri. Pia usafiri wa Punda ulikuwa ni jambo la kawaida.....
Sisemi kwamba tuanze kutembelea punda na baiskeli kama Cuba walivyofanya ila kwanini tusijifunze kuishi na tulichonacho..... Kwanini tusifufue viwanda vyetu wenyewe viwanda vya viatu, nguo n.k. (ikowapi Bora, Mwatex n.k.) kwanini uniform za wanafunzi wanajeshi na wafanyakazi wa serikali visingekuwa vinatengenezewa nchini, kwahiyo kukuza ajira.
Kwanini Tununue maziwa kutoka Kenya na Uganda wakati n'gombe tunao na kusindika maziwa na kuyapack hakuitaji fedha za kigeni....
Lets learn to utilize our own things na hii sio kwa serikali tu hata wananchi inabidi tuwe patriotic, inabidi tuone sifa kuvaa nguo ya kitenge, batiki na kiatu cha katambuga sababu kinatengenezwa Tanzania (Hence tunakuza uchumi wetu) na sio Gucci, Versace, CK, Nike Adidas Just because vinatoka nje.