Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Huyo dada nae kama kweli alipenda toka moyoni kwa nini alikuwa na wanaume wengi??
Imagine yaani FL1 umeuliza swali nililotaka kuuliza.....salute (miss u)
Huyo dada nae kama kweli alipenda toka moyoni kwa nini alikuwa na wanaume wengi??
hivi inaingia akilini kuchoma vyeti vya mtu????do u knw how severely i struggled to get all thoze certs??aagh hapa naona tunadanganyana...labda uniambie kachoma xerox za vyeti na sio original ones!!
Mtakatifu unataka kuniambia kakosea kumwambia?? ukweli?? Ulitaka ambembeleze?? No no no no
Methodology za kuachana........
Naamini huyu jamaa angweza kutafuta njia nzuri zaidi ya kumwambia huyu dada kwamba yamefika mwisho.......
Kuacha sio kosa...ila njia za kuachana ziangaliwe kwa umakini (kupunguza madhara).
Hilo ndo tatizo kubwa sana
Si unajua nyie wanawake mna tabia ya kutambiana ooh nina buzi lina handle kila kitu sijui kodi, usafiri mpaka wazazi kule killeji yeye anamaliza sasa fikiria jamaa ndo anaondoa hisa zake na anahamishia kwa Bi.Mwanakombo lazima uwewuke tu
Huyo jamaa kweli alifanya utafiti wa kutosha kabla ya kufikia conclusion hiyo?Nafikiri hapa hasira zilitawala zaidi hata kama kulikuwa na ukweli.Ila mpango wa kuchomeana vyeti,nguo na kuharibu laptop hata sio mpango kabisa.
We bwana acha tu yote tisa hivyo vyeti tu ndo mie vimenishangaza kweli huyu bidada anaonekana kama sijui vipi vile aahhh simuelewi kabisa
Sijasema kubembeleza.....ila kwa mtu anayemfahamu alipaswa kutafuta njia yenye madhara kidogo.......
Kama jamaa alikua 'ATM' ....angeweza kuanza kumkatia 'flow' ya hela etc....
Methodology za kuachana........
Naamini huyu jamaa angweza kutafuta njia nzuri zaidi ya kumwambia huyu dada kwamba yamefika mwisho.......
Kuacha sio kosa...ila njia za kuachana ziangaliwe kwa umakini (kupunguza madhara).
Si unajua nyie wanawake mna tabia ya kutambiana ooh nina buzi lina handle kila kitu sijui kodi, usafiri mpaka wazazi kule killeji yeye anamaliza sasa fikiria jamaa ndo anaondoa hisa zake na anahamishia kwa Bi.Mwanakombo lazima uwewuke tu