TUjifunze kukubali ukweli

Dena Amsi

R I P
Aug 17, 2010
13,082
4,260
Salut!!

Nimesikia hiki kisa kimenisikitisha sana.

Mwanaume alikuwa na mpenzi wake wakakorofishana mwanaume kamweleza msichana kuwa kuanzia sasa mimi na wewe basi kwa njia ya simu.

Msichana kusikia hivyo kapanic kweli kamwambia Mwanaume kuwa "We need to talk" jamaa kakubali kamwambia njoo tuzungumze. Msichana kafika kabla ya mwanaume na kwa kuwa alikuwa na ufunguo wa nyumba kaingia kumsubiri.

Jamaa alipofika kamweleza kuwa kutokana na tabia yako ya kuwa na wanaume wengine mimi nimeamua sikuhitaji tena endelea na maisha yako na mimi na maisha yangu msichana kusikia hivyo kaja juu na hasira na kachukua laptop ya mwanaume katupa nje (gorofa ya pili).

Mwanaume kabaki na msimamo ule ule kuwa sikuhitaji tena fanya chochote unachotaka lakini sitabadili msimamo wangu. Cha kushangaza zaidi msichana kaondoka na hasira na kurudi baadae kachukua nguo, vyeti na vitu vingine vya mwanaume kachoma moto na kuondoka.

Najiuliza kwanini huyu msichana hakubali kuwa kaachwa??? Ni lazima uendelee kuishi na mtu ambaye hakuhitaji????. Kwanini asikubali kuwa hahitajiki tena???

Hapa ndipo pale lile swala la wanawake hupenda toka moyoni na wanaume hupenda kwa macho linapokuja na kuwa gumu.

Tujifunze kukubali ukweli na upendo wetu usizidi kipimo, maana hata ukiambiwa mimi na wewe basi usiumie sana kiasi hiki.

Hiki ni kisa kimetokea huku nilipo na huyu msichana anapelekwa mahakamani leo kwa kosa la uharibifu wa mali za huyu mwanaume.

Nawasilisha
 
kwa hiyo unamaanisha kuwa hilo swala la kuwa na wana ume wengine kama ulivyosema sio ukweli??
Ila jamaa alikuwa hamtaki tu??
Kama ni hivyo basi hajamtendea haki huyu msichana/mwanamke kabisa.
Anyway, wanasema penzi ni kiti cha basi ukiondoka wanakaa wengine.
 
kwa hiyo unamaanisha kuwa hilo swala la kuwa na wana ume wengine kama ulivyosema sio ukweli??
Ila jamaa alikuwa hamtaki tu??
Kama ni hivyo basi hajamtendea haki huyu msichana/mwanamke kabisa.
Anyway, wanasema penzi ni kiti cha basi ukiondoka wanakaa wengine.

Nachosema mimi ni kuwa kwanini msichana hataki kukubali kuwa jamaa hamuhitaji tena?? Ndio swali langu mpaka amefikia hatua hiyo ya kumkomoa mwenzie na kumchomea vitu vyake laptop kaharibu nguo, vyeti hapo ndo pagumu
 
Huyo dada nae kama kweli alipenda toka moyoni kwa nini alikuwa na wanaume wengi??
 
Atakubalije ukweli wakati bado anampenda mwanaume?Tuwe wakweli na tutambue kuwa mtu yeyote ambaye anakuwa hajajiandaa kwa jambo fulani na linapokuja kwake huwa anakuwa haamini kinachotokea na si rahisi kukubaliana na ukweli,hebu jaribu kumuuliza mtu aliyewahi fukuzwa kazi wakati hakuwa na hata chembe ya taarifa.
Kitu ambacho sijapenda tu ni kuharibu mali za mwenzake,ila inawezekana pia laptop iliyovunjwa alichangia katika upatikanaji wake na akaona nayo ni bora ivunjike ingawa kitendo hicho si chema ila ndio hasira za kukataliwa zilipoenda.
 
Huyo mwanaume nae *****,mtu atupe laptop unamwangalia tu, achome nguo unasema hewala achome vyeti unasema asante!!!jamani si li ***** hilo!!!Utashindwa vipi kumdhibiti mtu aharibu vitu vinavyohusisha ustawi wako!!!
Hii ishu umeiweka kiupande lakini ni two way traffic-wapo wanaume ambao nao wameachwa lakini wakang'ang'ania penzi-hii inatokana na kutoamini kutokana na jinsi ulivyompenda na kumchukulia mwenzio kwa moyo wote
 
Huyo mwanaume nae *****,mtu atupe laptop unamwangalia tu, achome nguo unasema hewala achome vyeti unasema asante!!!jamani si li ***** hilo!!!Utashindwa vipi kumdhibiti mtu aharibu vitu vinavyohusisha ustawi wako!!!
Hii ishu umeiweka kiupande lakini ni two way traffic-wapo wanaume ambao nao wameachwa lakini wakang'ang'ania penzi-hii inatokana na kutoamini kutokana na jinsi ulivyompenda na kumchukulia mwenzio kwa moyo wote

Nachozungumzia hapa ni kwamba huyu msichana kama anampenda huyu mwanaume iweje awe na wanaume wengine na pale jamaa anapofikia uamuzi msichana hataki kukubali. By the way hii nimesikia kwenye taarifa ambapo msichana hajazungumza bali ni kesi ambayo mwanaume amelalamika kuharibiwa vitu vyake.

Swala linakuja kuwa mtu kashasema hakutaki wewe bado unamng'ang'ania wa nini?? Kubali yaishe kwani yeye ndo uhai wake bana??? Na huwezi kuishi bila yeye??
 
Katika hali ya kawaida sio rahisi kujua kama huyo dem alipenda kweli tokea moyoni. Inawezekana alikuwa anajutia atakavyozikosa pesa zake...
 
Katika hali ya kawaida sio rahisi kujua kama huyo dem alipenda kweli tokea moyoni. Inawezekana alikuwa anajutia atakavyozikosa pesa zake...[/QUOTE]

Hapo ndipo panapoleta shida na atazikosa kweli
 
Hasira hasira, kwa nini huyo dada anamharibia vitu vyake huyo kaka!!!
 
Hasira hasira, kwa nini huyo dada anamharibia vitu vyake huyo kaka!!!

We bwana acha tu yote tisa hivyo vyeti tu ndo mie vimenishangaza kweli huyu bidada anaonekana kama sijui vipi vile aahhh simuelewi kabisa
 
Huyo dada nae kama kweli alipenda toka moyoni kwa nini alikuwa na wanaume wengi??

Wadada wa design hii wanakuwa na wanaume zaidi ya wawili kwa marengo tofauti
Huyo mwenye laputopu yawezekana alikuwa ndo ATM sasa kuona hivyo misaada imeisha ndo maana kapanic
Huyo mwingine ni wa kumkuna binti wa watu pindi anapo elemewa na kiu anamfuata huyo wa kumfikisha kunako.
Kinacho muumiza huyo binti ni jinsi gani ataweza kutatua mahitaji yake ya kila siku kama kwenda saloon, kula mishkaki na chipsi bila kusahau vimiminika kama Redds n.k atavimiss maana kuja kupata kidume kingine cha kumwezesha ni kazi ingine tena ambayo inahitaji thread ingine.
 
Nachozungumzia hapa ni kwamba huyu msichana kama anampenda huyu mwanaume iweje awe na wanaume wengine na pale jamaa anapofikia uamuzi msichana hataki kukubali. By the way hii nimesikia kwenye taarifa ambapo msichana hajazungumza bali ni kesi ambayo mwanaume amelalamika kuharibiwa vitu vyake.

Swala linakuja kuwa mtu kashasema hakutaki wewe bado unamng'ang'ania wa nini?? Kubali yaishe kwani yeye ndo uhai wake bana??? Na huwezi kuishi bila yeye??


Hii imenikumbusha nikiwa chuoni enzi za mwaka ule 1947.. wanawake walikuwa na wanaume wenyewe wakiwaita... 1. Financer, huyu kazi yake ni mshiko. 2. Mzee wa ngwini, yeye huyu kazi yake ni homework, assignment na mambo yote ya academic. 3. Mpenzi kutoka moyoni, ambaye anapendwa jinsi alivyo. Kwa hiyo nadhani huyo dada alikuwa amewa categorize hawa wanaume kwajinsi hiyo. Sasa huyu probably financer aliposhituka akaona anamharibia mipango yake ya maisha kwenda sawia. Huwezi ukasema unampenda mtu alafu unagawa hovyo alafu utake mwanaume akuangalie tuu.
 
Methodology za kuachana........
Naamini huyu jamaa angweza kutafuta njia nzuri zaidi ya kumwambia huyu dada kwamba yamefika mwisho.......
Kuacha sio kosa...ila njia za kuachana ziangaliwe kwa umakini (kupunguza madhara).
 
Wadada wa design hii wanakuwa na wanaume zaidi ya wawili kwa marengo tofauti
Huyo mwenye laputopu yawezekana alikuwa ndo ATM sasa kuona hivyo misaada imeisha ndo maana kapanic
Huyo mwingine ni wa kumkuna binti wa watu pindi anapo elemewa na kiu anamfuata huyo wa kumfikisha kunako.
Kinacho muumiza huyo binti ni jinsi gani ataweza kutatua mahitaji yake ya kila siku kama kwenda saloon, kula mishkaki na chipsi bila kusahau vimiminika kama Redds n.k atavimiss maana kuja kupata kidume kingine cha kumwezesha ni kazi ingine tena ambayo inahitaji thread ingine.

Fidel bwana umeongea kweli sana
 
When-one-door-closes.jpg


Tatizo ni kukubali na ku move on...... wengi wetu huwa tunakata tamaa pale tunapojua kitu fulani kimeishia ukingoni.........
 
Methodology za kuachana........
Naamini huyu jamaa angweza kutafuta njia nzuri zaidi ya kumwambia huyu dada kwamba yamefika mwisho.......
Kuacha sio kosa...ila njia za kuachana ziangaliwe kwa umakini (kupunguza madhara).

Mtakatifu unataka kuniambia kakosea kumwambia?? ukweli?? Ulitaka ambembeleze?? No no no no
 
hivi inaingia akilini kuchoma vyeti vya mtu????do u knw how severely i struggled to get all thoze certs??aagh hapa naona tunadanganyana...labda uniambie kachoma xerox za vyeti na sio original ones!!
 
Back
Top Bottom