Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
wanandoa,wanafamilia,
Ndoa nyingi zinahangaishwa na uwazi wa mambo ya ndani ya familia
wapo wengi wanaoshindwa kutunza siri za majumbani mwao bila kujua madhara yake....hili linahusishwa wanaume kwa wanwake...lakini ndugu zetu wa kike wengi wamekuwa wakitoa siri za ndani kwa minajili ya kupata msaada wa ndoa...hakuna atakaekusaidia kwa kutoa siri za matatizo yenu ya ndani
leo hii anza kujifunza kutatua matatizo yenu wenyewe kwanza kabla ya kuamua kuyatoa nje..si kweli wote wanashindwa kufanikiwa kuwa na amani wakikaa wenyewe;tatizo moja nimeliona familia nyingi wanandoa wanaogopana..na hili limefanya communication kuwa mgogoro na hivyo kuleta madhara kama haya ya kushindwa kukaa chini na kumaliza matatizo....
Wapo wanaoamini mwenzangu nikimsema kwa mtu fulani atabadilika..huyo abadiliki ndugu amezaliwa na baba na mama yake tofauti na wewe,....lazima mjue kila mtu anakuwa na tabia tofauti mnapokutana mnashare matatizo kwanza then inafwata starehe.....,swala la maana ndugu zanguni tujifunze kuficha siri zetu...usikubali kama mwanandoa ukimbilie kwa wazazi kisa mwenzio kukunyima unyumba siku tatu...anza kumwambia unategemea nini...mpenzi...mpe siku.......nawatakia maisha mema
kila la kheri
Ndoa nyingi zinahangaishwa na uwazi wa mambo ya ndani ya familia
wapo wengi wanaoshindwa kutunza siri za majumbani mwao bila kujua madhara yake....hili linahusishwa wanaume kwa wanwake...lakini ndugu zetu wa kike wengi wamekuwa wakitoa siri za ndani kwa minajili ya kupata msaada wa ndoa...hakuna atakaekusaidia kwa kutoa siri za matatizo yenu ya ndani
leo hii anza kujifunza kutatua matatizo yenu wenyewe kwanza kabla ya kuamua kuyatoa nje..si kweli wote wanashindwa kufanikiwa kuwa na amani wakikaa wenyewe;tatizo moja nimeliona familia nyingi wanandoa wanaogopana..na hili limefanya communication kuwa mgogoro na hivyo kuleta madhara kama haya ya kushindwa kukaa chini na kumaliza matatizo....
Wapo wanaoamini mwenzangu nikimsema kwa mtu fulani atabadilika..huyo abadiliki ndugu amezaliwa na baba na mama yake tofauti na wewe,....lazima mjue kila mtu anakuwa na tabia tofauti mnapokutana mnashare matatizo kwanza then inafwata starehe.....,swala la maana ndugu zanguni tujifunze kuficha siri zetu...usikubali kama mwanandoa ukimbilie kwa wazazi kisa mwenzio kukunyima unyumba siku tatu...anza kumwambia unategemea nini...mpenzi...mpe siku.......nawatakia maisha mema
kila la kheri