Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 222
Maandalizi ya Kikao cha Bunge la Bajeti linaendelea na ni wakati sasa wa kujiridhisha jinsi gani bajeti
iliyopita imekuwa na impact kwa watanzania.
Maswali ya kujiuliza kuhusu bajeti ni:
1.Je,Bajeti inawalenga watanzania kuondoka kwenye lindi la umaskini?
2.Je,bajeti ya safari hii itakuwa sawa na ya mwaka jana?
3.Je,mapato na matumizi yanalingana bila kukopa?au ni bajeti tegemezi mpaka mwisho wa Dunia.
4.Je,watanzania wanaijua misingi ya bajeti?
Nimejaribu kujiuliza maswali haya sipati majibu sahihi kinachonipelekea kuwasilisha kwenye Jukwaa la Great Thinkers
Rejea Bajeti 2010/11
Nawasilisha.
iliyopita imekuwa na impact kwa watanzania.
Maswali ya kujiuliza kuhusu bajeti ni:
1.Je,Bajeti inawalenga watanzania kuondoka kwenye lindi la umaskini?
2.Je,bajeti ya safari hii itakuwa sawa na ya mwaka jana?
3.Je,mapato na matumizi yanalingana bila kukopa?au ni bajeti tegemezi mpaka mwisho wa Dunia.
4.Je,watanzania wanaijua misingi ya bajeti?
Nimejaribu kujiuliza maswali haya sipati majibu sahihi kinachonipelekea kuwasilisha kwenye Jukwaa la Great Thinkers
Rejea Bajeti 2010/11
Nawasilisha.