CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Wakuu nimeuliza hivyo kwa sababu kuna watu wamekuwa wakitoa kontact humu kwamba wao wana toa huduma fulani na wamekuwa wakitoa contact za simu, pamoja na email adress
- Wakuu tatizo linkuja pale unapo anzisha mazungumzo nao kupitia email adress, ukituma email ya kwanza unaweza jibiwa baada ya siku mbili na ukituma ya pili haitajibiwa kamwe, sasa hapa nashindwa kuelewa ni kwa nini, je wanaona wanasumbuliwa? ni kwa nini wakatoa contact?
- Mimi huwa na comnicate na wafanya baisahara wa kutoka kenya, nilisha wahi kutuma email kutaka ufafanuzi fulani, nilituma saa 5:45 usiku cha kusatajabisha saa 6:30 usiku huo huo nilijibiwa email yangu na nikatuma nyingine nikajibiwa usiku huo huo na nilisha wahi kufanya kwa kampuni kama tatu ikawa hivyo hivyo,
- SASA KWA WATANZANIA WENZETU SIJUI KAMA TUKO SIRIAZIAZI AU TUNALAZIMISHWA, UNATUMA EMAIL INAJIBIWA BAADA YA SIKU KADHAA AU ISIJIBIWE,
Watanzania lazima tuwe siriasi kama tunapenda kweli kufanya biashara, kunaushindani mkubwa sana kwa sasa
- Wakuu tatizo linkuja pale unapo anzisha mazungumzo nao kupitia email adress, ukituma email ya kwanza unaweza jibiwa baada ya siku mbili na ukituma ya pili haitajibiwa kamwe, sasa hapa nashindwa kuelewa ni kwa nini, je wanaona wanasumbuliwa? ni kwa nini wakatoa contact?
- Mimi huwa na comnicate na wafanya baisahara wa kutoka kenya, nilisha wahi kutuma email kutaka ufafanuzi fulani, nilituma saa 5:45 usiku cha kusatajabisha saa 6:30 usiku huo huo nilijibiwa email yangu na nikatuma nyingine nikajibiwa usiku huo huo na nilisha wahi kufanya kwa kampuni kama tatu ikawa hivyo hivyo,
- SASA KWA WATANZANIA WENZETU SIJUI KAMA TUKO SIRIAZIAZI AU TUNALAZIMISHWA, UNATUMA EMAIL INAJIBIWA BAADA YA SIKU KADHAA AU ISIJIBIWE,
Watanzania lazima tuwe siriasi kama tunapenda kweli kufanya biashara, kunaushindani mkubwa sana kwa sasa