Combi ya kike?kwa taarifa yako kati ya kombi ngumu kumeza cbg imo mkuu,hata dv 1 zake huwaga nizakutafuta na tochi..
Ni kati ya kozi ngumu sana kwa O'level. Kwa vile masomo yake hayaendani hata kidogo.
Kemia kivyake,biolojia kivyake na jiografia kivyake. Hivyo atahitaji msuli mkubwa kumeza kemia na biolojia (kama Magufuli vile).
Ila akiweza kuisoma,SUA ndio kutamfaa. Wildlife,environmentalsciences,forestry,soil sciences,vet, ni kati ya kozi anazoweza kusoma.
ni kati ya combination ambazo chemistry yake haiko vizuri kila somo linajitegemea ila watu wanatoka ni malengo yake ndo yatampeleka muhimbili kusoma inveronment...au mwika kusoma wildlife management