bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,105
Padri na shekhe walikutana
kwenye ndege,Padri
akamkaribisha Shekhe nyama
ya kitimoto,Shekhe akasema
sisi hatulagi hiyo nyama Padri
akasema mnakosa uhondo.wakati wa kushuka
Shekhe akamwambia Padri
msalimie mkeo Padri akasema
sisi hatuoi,Shekhe akasema
mnakosa uhondo.sasa je kati
ya Shekhe na Padri ni nani anayekosa uhondo?naomba
mnisaidie hapo!
kwenye ndege,Padri
akamkaribisha Shekhe nyama
ya kitimoto,Shekhe akasema
sisi hatulagi hiyo nyama Padri
akasema mnakosa uhondo.wakati wa kushuka
Shekhe akamwambia Padri
msalimie mkeo Padri akasema
sisi hatuoi,Shekhe akasema
mnakosa uhondo.sasa je kati
ya Shekhe na Padri ni nani anayekosa uhondo?naomba
mnisaidie hapo!