Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,533
INASIKITISHA: Baada ya mechi nilikua napita maskani flan hivi. Nkaskia washkaj wakiskitika kumpoteza rafiki yao mshabiki wa Yanga.
Marehemu alikua akichek game uwanja wa Taifa. Alianguka ghafla baada ya mpira kuisha. Jamaa wanahisi marehemu hakutegemea YANGA kuibuka na ushindi. Plus na matitizo yake ya Low blood pressure, basi huduma ya kwanza waliompa wale marafiki zake pale uwanjan wala haikuzaa matunda. Mauti yakamkuta pale pale.
Namwombea Marehemu a-rest in peace. Mara ya mwishokusikia m2 kufa kwa upenzi wa timu ni yule jamaa wa Nairob shabiki wa Arsenal kujinyonga baada ya th gunnerz kutolewa champs league na liva if am nat mistaken. Jaman 2sishabikie timu ze2 kupita kiac. 2naweza hatajitaftia magonjwa ya pressure bureee!
Asanten
Marehemu alikua akichek game uwanja wa Taifa. Alianguka ghafla baada ya mpira kuisha. Jamaa wanahisi marehemu hakutegemea YANGA kuibuka na ushindi. Plus na matitizo yake ya Low blood pressure, basi huduma ya kwanza waliompa wale marafiki zake pale uwanjan wala haikuzaa matunda. Mauti yakamkuta pale pale.
Namwombea Marehemu a-rest in peace. Mara ya mwishokusikia m2 kufa kwa upenzi wa timu ni yule jamaa wa Nairob shabiki wa Arsenal kujinyonga baada ya th gunnerz kutolewa champs league na liva if am nat mistaken. Jaman 2sishabikie timu ze2 kupita kiac. 2naweza hatajitaftia magonjwa ya pressure bureee!
Asanten