Mh kimya!! Updates plsWhat? Again? Yani kila mechi Simba lazima wapate kadi..why?? ila kama kawaida tutawachapa na watu kumi..bado dakika ngapi?
yanga wepata bao dk 119...
njama tuu hizo...from prev records he is always red carded against yanga...
Ufisadi wa manji hizo...ushindi unakwenda msimbazi tuu na huyo refa lazima achapwe bakora tuu leo..tunamsubiri baada ya mechi maana tulishasema ujinga wa refa hatutavumilia
Mpira umekwisha. It z full time. Yanga 2 simba 1.
nitacomemt baada ya game
Sasa tunawataka hao mapaka wanaokaa kwenye masofa. Wamezoea kutoa dozi, wacha sisi tuwaonyeshe soka la bongo.
Goal by shamte, Yanga 2 simba 1
Mkianza kutukana mtajilaanisha bureHao paka lazima tuwachane tu hawana namna..