Ndugu so called "great thinkers"
Nimekuwa nikifuatilia mijadala ya Jukwaa hili la siasa na nimegundua kuwa "threads" zinazozungumzia maneno wanayosema watu na matukio yanayotokea zinachangamkiwa sasa kwa watu wengi kujitokeza kuzijadili. Mara nyingi unakuta ni maneno tu yamewekwa bila hata uthibitisho.
Inapotokea "thread" inayojadili masuala ya kimsingi ya nchi au michakato ya kisiasa hupati watu wengi wakichangia na mara nyingine "threads" za aina hii huwekwa pembezoni kabisa.
Swali: Je inawezekana watu wengi humu ni "simple minded" wanaojifanya kuwa ni Great thinkers?
Nimekuwa nikifuatilia mijadala ya Jukwaa hili la siasa na nimegundua kuwa "threads" zinazozungumzia maneno wanayosema watu na matukio yanayotokea zinachangamkiwa sasa kwa watu wengi kujitokeza kuzijadili. Mara nyingi unakuta ni maneno tu yamewekwa bila hata uthibitisho.
Inapotokea "thread" inayojadili masuala ya kimsingi ya nchi au michakato ya kisiasa hupati watu wengi wakichangia na mara nyingine "threads" za aina hii huwekwa pembezoni kabisa.
Swali: Je inawezekana watu wengi humu ni "simple minded" wanaojifanya kuwa ni Great thinkers?