maulid_salum
New Member
- Jun 20, 2012
- 2
- 0
eti inakuwaje ukioa
mwanamke ambae alishakuwa
na mtoto na huyo mtoto
anakaa kwa baba yake
inakuwaje siku yule mtoto
akiumwa na akalazwa ikabidi
mama yake aende
akamuuguze. Na endapo
utaamua kumlea wewe
uliyemuoa mama yake
itakuwaje pale baba yake
atakuwa anatimba kwako kisa
anakuja kumuona mtoto?na
kumletea vijizawadi.na
matumizi ya mtoto.
mwanamke ambae alishakuwa
na mtoto na huyo mtoto
anakaa kwa baba yake
inakuwaje siku yule mtoto
akiumwa na akalazwa ikabidi
mama yake aende
akamuuguze. Na endapo
utaamua kumlea wewe
uliyemuoa mama yake
itakuwaje pale baba yake
atakuwa anatimba kwako kisa
anakuja kumuona mtoto?na
kumletea vijizawadi.na
matumizi ya mtoto.