Wa Mjengoni
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 480
- 128
Wakuu hii nimeipata kwenye comments za Caroline, ktk gazeti la Mwananchi la leo 1julai 10,topic husika ''Ajira sasa wazi EAC'' nanukuu:
"Watanzania wote shikeni kalamu muandike maneno haya."MFUPA ULIOMSHINDA FISI MB WA HAWEZI KUULA"
Mwalimu Julius Nyerere aliziunganisha nchi za Afrika Mashariki miaka ile.Watanzania tukaishia kuinufaisha Kenya hadi leo wanazo ndege na wanaendesha shirika lao kwa nguvu za Watanzania.Hilo ndilo wanalolitafuta tena baada ya kuona tumelalia masikio.
Nilipata kuyasema hata hata baada ya kukiona kipindi kinachoendeshwa na shirika la simu la ZEIN kinachoitwa ZEIN AFRIKA. Sijapata kuona hata siku moja chuo chochote cha Tanzania kikivuka hata hatua pa tatu ya mchujo kama walipata hiyo bahati ya kufika hatua ta pili.Elimu yetu Tanzania mpaka baada ya miaka kumi ijayo ndio tunaweza kuingia kwenye ushindani wa ajira na ujenzi wa viwanda.Mimi naionea huruma Tanzania na hasa familia yangu kuwa kile alichokikataa Mwalimu Hayati Julius Kambarage Nyereretunakiru dia tena na hata kabla ya kujiandaa.Mwisho napenda kila Mtanzania ajue kuwa "ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU"
Hayo maneno mekundu tuyajadili kwa kutoa vielelezo, yameniuma sana.
"Watanzania wote shikeni kalamu muandike maneno haya."MFUPA ULIOMSHINDA FISI MB WA HAWEZI KUULA"
Mwalimu Julius Nyerere aliziunganisha nchi za Afrika Mashariki miaka ile.Watanzania tukaishia kuinufaisha Kenya hadi leo wanazo ndege na wanaendesha shirika lao kwa nguvu za Watanzania.Hilo ndilo wanalolitafuta tena baada ya kuona tumelalia masikio.
Nilipata kuyasema hata hata baada ya kukiona kipindi kinachoendeshwa na shirika la simu la ZEIN kinachoitwa ZEIN AFRIKA. Sijapata kuona hata siku moja chuo chochote cha Tanzania kikivuka hata hatua pa tatu ya mchujo kama walipata hiyo bahati ya kufika hatua ta pili.Elimu yetu Tanzania mpaka baada ya miaka kumi ijayo ndio tunaweza kuingia kwenye ushindani wa ajira na ujenzi wa viwanda.Mimi naionea huruma Tanzania na hasa familia yangu kuwa kile alichokikataa Mwalimu Hayati Julius Kambarage Nyereretunakiru dia tena na hata kabla ya kujiandaa.Mwisho napenda kila Mtanzania ajue kuwa "ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU"
Hayo maneno mekundu tuyajadili kwa kutoa vielelezo, yameniuma sana.