Imekaa njema sana.Mapambano bado yanaendelea wakuu,
ninajishughulisha na ufugaji wa kuku kwa kipindi kirefu sasa. Nimeamua sasa kufanya shughuli hii kitaalam ndipo nikachanganya madesa tofauti tofauti na kupata mpango biashara huu,tafadhari naomba tujadili kwa wale wataalam watoe mapungufu na marekebisho muhim.
karibuni sana nipo tayari kupokea changamoto
nimeattach file katika format mbili yaan word dic na PDF uchague inayokufaa
Mkuu samahani hiyo attachment kwang imebuma siioni unaweza nitumia niicheki hajjmakwato@gmail.comMapambano bado yanaendelea wakuu,
ninajishughulisha na ufugaji wa kuku kwa kipindi kirefu sasa. Nimeamua sasa kufanya shughuli hii kitaalam ndipo nikachanganya madesa tofauti tofauti na kupata mpango biashara huu,tafadhari naomba tujadili kwa wale wataalam watoe mapungufu na marekebisho muhim.
karibuni sana nipo tayari kupokea changamoto
nimeattach file katika format mbili yaan word dic na PDF uchague inayokufaa
poa nimeshakutumiaMkuu samahani hiyo attachment kwang imebuma siioni unaweza nitumia niicheki hajjmakwato@gmail.com
Sent from mTalk
Jamaa anaboa kweli mods sijui hawaoni huu upuuzi!!Sio kila uzi kwenye jukwaa hili unaweka hii comment yako jaribu kuangalia na mada husika. Mada kuhusu business plan ya ufugaji kuku wewe unaleta Forex scam