palalisote JF-Expert Member Aug 4, 2010 8,335 1,455 Jul 21, 2011 #1 Hii ni katuni ambayo gazeti la the east africa ilichapisha.
kingxvi JF-Expert Member Feb 11, 2011 879 150 Jul 21, 2011 #2 inadharirisha viongozi wetu na kwanini halichukuliwi hatua?
S SURUMA JF-Expert Member Mar 22, 2011 2,892 1,064 Jul 21, 2011 #3 Inadhalilisha nini wakati ina depict HALI HALISI ambayo mwenye MACHO YOYOTE HAHITAJI KUAMBIWA TAZAMA kuona uozo unaotia kichefuchefu???
Inadhalilisha nini wakati ina depict HALI HALISI ambayo mwenye MACHO YOYOTE HAHITAJI KUAMBIWA TAZAMA kuona uozo unaotia kichefuchefu???
K Kifulambute JF-Expert Member May 8, 2011 2,539 755 Jul 21, 2011 #4 hahahahah alitabiri siku nyingi sana toka 1995
Nyamgluu JF-Expert Member Mar 10, 2006 3,160 1,717 Jul 21, 2011 #5 hahaha among the best I hv seen. imebidi niweke screen saver! Mnaona inadhalilisha cjui mna maana gani?
hahaha among the best I hv seen. imebidi niweke screen saver! Mnaona inadhalilisha cjui mna maana gani?
kichomiz JF-Expert Member Feb 28, 2011 19,011 11,942 Jul 21, 2011 #6 Nimeamua kuiprint kwenye A3 haidharirishi ila inaelezea uhalisia wa viongozi wetu walivyo.
POMPO JF-Expert Member Mar 12, 2011 6,690 2,400 Jul 21, 2011 #9 message sent Mkuu watachapwa na Mungu