Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Hapa ni kweli kwamba ni mwenyeji wa Bukoba na ni kweli aliwahi kuwa askari polisi, ambako alijiunga alipomaliza BA education pale UDSM. Lakini la ujambazi una hakika?
Unamfahamu vizuri na unaweza kuliambia jukwaa ukweli halisi kuhusu huyu bwana? maana inaelekea unachanganya uongo na ukweli ili vyote vionekane kama kitu kimoja
Mchukia Fisadi,
Inaelekea wewe unamjua vizuri huyo Bwana. labda nijibu masuala mawili
1. Je inawezekana mtu kamaliza degree na kujiunga na polisi wakati huo aanze na uaskari? mimi ninavyojua ataanza na uofisa (yaani na nyota moja au zaidi) naomba ufafanuzi
2. Tudadavulie je mtu huyo polisi aliacha mwenyewe au alistaafu ndipo akaamua kuanzisha hiyo shule?