Nina ndugu hapo st.mathews,A level.ameniacha hoi aliponieleza kuwa St.Mathews wanafunzi wanalazimika kulipia laki moja kwa mwezi kwa somo kwa walimu wao(kwa siri shule haijui-kweli??).
waalimu darasani wanategea hawafundishi vizuri wakijua kuwa mzazi hana jinsi atatoa tu hiyo laki moja ili mtoto wake apate elimu nzuri.
najiuliza maswali yafuatayo.
1.Uongozi wa St.Mathews Kongowe Unalifahamu hili?
2.Kama unalifahamu je ni sahihi?Ada ya nini sasa?wazazi wasio na uwezo wa kutoa hizo laki moja za ziada kwa mwezi watoto wao watafaulu vipi?
3.kwa nini wazazi hawauambii uongozi wa shule?(nategemea kufanya hivyo)
4.kuna mzazi aliyewahi ripoti tuition hizi za kifisadi kwa uongozi wa shule?alipewa majibu gani?
5.kwa mlio na vijana mashule mengine,utaratibu mzima wa Ada vs Tuition ukoje?
hitimisho:
nionavyo mie,ufisadi uko sehemu nyingi tu tanzania,kuanzia IKULU hadi chekechea.
waalimu darasani wanategea hawafundishi vizuri wakijua kuwa mzazi hana jinsi atatoa tu hiyo laki moja ili mtoto wake apate elimu nzuri.
najiuliza maswali yafuatayo.
1.Uongozi wa St.Mathews Kongowe Unalifahamu hili?
2.Kama unalifahamu je ni sahihi?Ada ya nini sasa?wazazi wasio na uwezo wa kutoa hizo laki moja za ziada kwa mwezi watoto wao watafaulu vipi?
3.kwa nini wazazi hawauambii uongozi wa shule?(nategemea kufanya hivyo)
4.kuna mzazi aliyewahi ripoti tuition hizi za kifisadi kwa uongozi wa shule?alipewa majibu gani?
5.kwa mlio na vijana mashule mengine,utaratibu mzima wa Ada vs Tuition ukoje?
hitimisho:
nionavyo mie,ufisadi uko sehemu nyingi tu tanzania,kuanzia IKULU hadi chekechea.