Tuitazame upya nafasi ya Katibu Mkuu CHADEMA

Huu sio wakati wa Party Supremacy, Makuzi yoyote ya kidemokrasia lazima yaambatane na changamoto, Dr. yupo well contented hivyo anaweza sana kutafsiri kwa ufanisi zaidi Mabadiliko ambao CDM wanasimamia, kamwe usiogope neno DEMOKRASIA, sasa ni wakati wa kufanya SIASA na sio HARAKATI.

Nafasi ya ukatibu haitaji sana political figure, bali strategy maker, na hivi ndio tutajenga CDM imara zaidi.

Cut the story short, kwa hiyo unampendekeza nani awe Katibu Mkuu, kwa manufaa ya nani?
 
cdm ina vipaumbele jamani hili bado muda wake.

Kocha timu inafunga magoli vp uanze kuhamisha wachezaji mbele kuwapeleka nyuma au kuwatoa??

Shauri ni vipi yule mwanakijiji wa mpakani na msumbiji au kasanga lake Tanganyika atapata elimu ya uraia na M4C itamfikia

Unaipa cdm sifa ya kujadili mambo ya ndani hadharani wakati vikao vipo na vinatumika. Sina hakika ww ni mwanachama mtiifu na viongozi wako wa karibu unawajua ukapeleka ushauri huu.
 
Hiyo nafasi haitakiwi kuzungumziwa wala nini, hiyo ni nafasi yake ya kudumu mpaka atakapokufa! Ni kama nafasi ya u Papa vile...
 
Kujitambulisha kuwa wewe ni mwanachama wa CHADEMA haitufanyi sisi werevu kugundua njama zako. Chama hata hakijashika DOLA unataka mabadiliko kusudi CHADEMA waanze kugongana wao kwa wao. Jiulize kwa nini mada yako hii inaungwa mkono na watu wale wale maadui wa Mbowe na Dr. Slaa na marafiki wa CC- na ZZK.
 
Mimi nafikiri mke wa dr. Slaa achukue ukatibu mkuu na dr.slaa awe mwenyekiti sijui mnaionaje hiyo wazee
 
Umechoka, Zitto ndio hafai tena asubiri ubunge na uwaziri kama nchi itaenda wapendapo watz.Kila nafasi in amtu more competent kuliko yeye.

Mbowe alipo kafit, Dr. Slaa alipo amefit kabisa wapo akina Lissu,Mnyika etc.hawa sioni pa kumweka Zitto ambaye hajamake decision ktk chochote hata role model wake halisi majui kila siku na mwingine.Huku wakitofautiana sana kiasi cha kutoweza kuwachukua wote.

Kwa ujumla Zitto ndio biashara yaek imekwisha asubiri tuu kifo kutangazwa rasmi.Mkabila mkuu anayechukia wachaga na watu wengine wa kaskazini, soon ataongeza wengine katk list ya asiowataka,pengine ataenda ukanda wa akina Sugu kama CCM....Hafai kuwa kiongozi.

Hii taswira mnayoendelea kutujengea kwa Zitto siyo, jamaa bado ni mwanachama halali. Kama anaonekana kutuvuruga mbona viongozi wakuu (Mbowe, Slaa, Mnyika nk) hatujawasikia wakimnyooshea kidole kama mfanyavyo nyinyi humu. Zitto bado ni jembe na mchango wake ni muhimu kwny chama sasa na baadae.
 
Kwangu mimi naona wazo lako zuri chakujiuliza Mbowe Hana nia kweli yakuendelea Kua mwenyekiti?
 
Hii taswira mnayoendelea kutujengea kwa Zitto siyo, jamaa bado ni mwanachama halali. Kama anaonekana kutuvuruga mbona viongozi wakuu (Mbowe, Slaa, Mnyika nk) hatujawasikia wakimnyooshea kidole kama mfanyavyo nyinyi humu. Zitto bado ni jembe na mchango wake ni muhimu kwny chama sasa na baadae.

ya nini waseme?wao kama viongozi wanahitaji ushahidi wa wazi wa kuweza mwajibisha.Sisi hautuhitaji huo kwani tunachokiona kinatosha kusema kwanini anatuchukiza sana.Huko kuwa jembe ni kwingine na hko kuwa na nia thbiti na kuwajibika kwa chama ni kwingine.So irresponsible leaders hawana nafasi kwetu.na kura yetu hatumpi, kama tulivyomnyima Kikwete na ameonyesha alivyo pumba.Sasa kazi ni kukimbizana kuzima viraka hadi hakuna tena resources za kununua nguo mpya na ikibidi kuuza nyingine.

Mbona haya Yote anafanya Zitto wazi sasa unajaribu smshutumu nani kuijenga taswira?HUjamsikia au unamsaidia kuficha aibu yeye mwenyewe asiyoiona?
 
Mi naona mke wa Dr.Slaa awe katibu wa CDM na Dr.slaa awe M/kiti sijui mnaonaje wazee

yeah..km vile mwali wa wakwere alivyo NEC-CCM soon naye awe katibu mkuu na prince awe mwenyekiti baada ya baba.
 
Good analysis but mi naona bado Mbowe anafaam maana misimamo yake inahitajika sasa kwa kipindi kama hiki magamba wanajaribu kuminya demokrasia na kutumia mamluki kibao mbowe anaweza sana kuongoza ukombozi bila kuogopa akishirikiana kwa karibu na Dar
 
MBELWA Germano

Mwanachama hai!? Kwa maneno!

Unajua kati ya vitu ambavyo CCM wanahangaika navyo kweli kweli ni kutaka kujua nani atagombea urais kwa CHADEMA mwaka 2015. Mara mbili wamekuwa caught on surprise bila wao kujua wala kutegemea.

Itakumbukwa mara ya mwisho hata systems zao zote hazikuweza kabisa ku-sense CHADEMA watatoka vipi. Wanatamani kweli kweli kuwepo na makundi makundi kama kwao. No way.

Sasa kama hivi unamuona mwanaCCM anayetafuta uhalali wa kusomwa na kusikilizwa hoja yake kwa kuukana kwanza UCCM wake wa vitendo na kuvaa u-CHADEMA wa maneno, kisha anasema chama kina wagombea wawili wa urais. Watu makini wanaweza kumuuliza, vipi nafasi zimetangazwa lini, katika vikao gani, nani kawateua hao wawili.

Kaka akili isiyoweza hata kubaini kitu kidogo kuwa kuna tofauti kati ya kuwa mgombea na kutangaza nia ya kugombea, ni akili inayopaswa kusaidiwa.
 
Last edited by a moderator:
Mtoa hoja KASHACHOKA Kabla hata robo ya safari bado, katumwa huyu nampa POLE, HUYU NI BOKO HARAMU (muuaji).:lol:
 
MBELWA Germano

Ana haki hiyo kidemocracia, Lakini kwa sasa ukatibu ndio unaoendesha chama kimkakati, Dr. Slaa ni mtendaji mzuri wacha kwanza akijenge chama. Swala hili halihusiani na kugombea uraisi, na Dr hajatangaza nia unamwekea maneno mdomoni mwake. Vile vile mkiti sio lazima awe mgombe and vise versa. Tusikopi magamba yanayumba kwa sababu ya muundo huo. Mimi nakataa kwa sasa, pamoja na kwamba najua anaweza.
 
Last edited by a moderator:
Kujitambulisha kuwa wewe ni mwanachama wa CHADEMA haitufanyi sisi werevu kugundua njama zako. Chama hata hakijashika DOLA unataka mabadiliko kusudi CHADEMA waanze kugongana wao kwa wao. Jiulize kwa nini mada yako hii inaungwa mkono na watu wale wale maadui wa Mbowe na Dr. Slaa na marafiki wa CC- na ZZK.
Wewe umegundua, akili ndogo inashauri akili kubwa. Katibu ana nguvu sana kiutendaji. Waache CCM wajichanganye wenyewe. Julius aliwaingiza mkenge kulinda madaraka yake sasa anataka kutultea CDM. Amekula chaka huyo.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom