AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Kwa hiyo chadema hadi leo unasema inafanya harakati?Huu sio wakati wa Party Supremacy, Makuzi yoyote ya kidemokrasia lazima yaambatane na changamoto, Dr. yupo well contented hivyo anaweza sana kutafsiri kwa ufanisi zaidi Mabadiliko ambao CDM wanasimamia, kamwe usiogope neno DEMOKRASIA, sasa ni wakati wa kufanya SIASA na sio HARAKATI.
Nafasi ya ukatibu haitaji sana political figure, bali strategy maker, na hivi ndio tutajenga CDM imara zaidi.
Hadi pale atakapowathibitishia watanzania kwamba yeye siyo pandikizi la CCM ndani ya CDM.Kwahiyo Zitto awe katibu mkuu pale au sio.
mabadiliko ni muhmu sana popote pale hata China walikuwa wakimuona MAO kama Mungu wao na waliamini hakuna kama MAO lakn leo hii unaweza kuona RAISI waliyenae sasa amefanya makubwa zaidi kwa kuendeleza alichofanya MAO kwahyo cha msing ni mabadilko ndan ya CHADEMA kwa kuangalia hyo nafas unampa nan na sio mtu km ZANA ZA KILIMO (ZZK)
Nafasi ya katibu mkuu inapaswa kushikwa na Doctor Slaa kwa sababu ni nafasi ya mtu mwenye taaluma.
Kwanza kabla ya yote alikuwa Katibu mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, hii siyo kazi ndogo kuwa katibu mkuu hivyo maoni yangu ni kwamba bado Slaa aemdelee kuwa katibu.
Kuhusu mgombea kuwa na nguvu sidhani kama ili kuwa na nguvu ni lazima uwe mwenyekiti? Jibu ni hapana.
Chama kinatakiwa kumpendekeza mtu yoyote kuwania uraisi siyo lazima awe mwenyekiti au mtendaji,
Mbona nchi nyingi hufanya hivyo.
2025 atagombea John Mnyika. Believe me.
Mkuu,
Haya uliyoandika umeandika vizuri isipokuwa mtu asipokuwa makini hawezi kugundua kosa.Hivi uliona wapi watu wanabadilisha makamnda katikati ya Vita?
Dr.Slaa na Freeman Mbowe wanafanya kazi nzuri so far.Kinachohitajika ni kuendelea kuwa focused.Kuna watu wachache sasa wanatumia kisingizio cha DEMOKRASIA kuhujumu harakati na dhima kuu ya CHADEMA.Tunachopaswa ni kuungana kuwapinga maadui wa nje na ndani
Vijana chadema tusimame kidete,tusikubali kut9olewa katika malengo ya msingi kwa maslahi binafsi ya watu
Dr.Slaa ndio mtu sahihi kwa sasa.
Kwahiyo Zitto awe katibu mkuu pale au sio.
Hujatoa hoja msingi; ukokimagamba mgamba
1. Hujaangalia sustainability ya mafanikio kama mabadiliko unayoyataka yata sustain mafanikio..
2. Ni taratibu za chama baada ya tathmini kuona mwelekeo mpya uendeje kwa raslimali gani.
3. Ungepeleka maoni hayo kupitia tawi lako kama unaona yana msingi
Dr Wilbroad Slaa hakuwahi kutamka hata mara moja kwamba atagombea urais uchaguzi ujao. Ni kumuonea kumlisha hayo maneno kwani Dr Slaa si mtu wa hovyo kupindisha taratibu za chama na kujitangaza leo eti atagombea urais miaka 3 ijayo. Hilo linafanywa tu na mtu mwenye hila chafu kuchafua upepo ndani ya chama.
Huo usultani unauona CDM tuu?Vipi CUF,TLP, NCCR, CCM?mtachoka sana.