Tuige mfano wa vyuo hivi.

wanafunzi wengi wa mikoani wanaona fahari kufika dar. Wanajihisi umaarufu sana kusoma udsm kwakuwa hawajui vyuo vingine.

je, vipi kuhusu wanafunzi wanaosoma udsm ambao ni wakazi wa dar?
 
Wewe ndio naona umeongea ukweli. Swala sio chuo, swala ni mtu mwenyewe.
Mimi sidhani kama chuo ndo kinamfanya mtu awe mwajibikaji mzuri katika kazi, hapa ni mtu mwenyewe kujitambua na kujua uwezo wako ukoje hivyo sioni umuhimu wa kuvisifia baadhi ya vyuo hapa tz
 
umaarufu wao uko kwenye migomo na sifa za kijinga tu..

kama serikali iliyopo na utawala kwa ujumla ni wakijinga unategemea tutafanyaje endapo haki haipatikani? Unataka tukae tu, tukubaliane na ujinga wao????
 
Mimi kwa mtazamo wangu, msiaumu vyuo, lawama ziende kwa wanafunzi wenyewe. Mf mimi wa udsm, nimejisikia vibaya kwa posts zenu. Yaani watu mnaponda chuo, kwani waliotoa rank ya vyuo wameangalia vigezo gani? Ina maana udsm sio chuo bora? Chuo bora ni kipi sasa? Udsm bado kipo juu, sema tu baadhi ya wanafunzi wa udsm ndio wanaharibu sifa ya chuo. Sio vizuri kujumuisha tabia ya mtu na chuo anachosoma. Wewe soma ondoka na GPA nzuri ndio kinachotakiwa, ubora wa chuo unachosoma utumie vizuri na sio kuponda vyuo vingine au kulaumu vyuo vingine.
 
Mimi kwa mtazamo wangu, msiaumu vyuo, lawama ziende kwa wanafunzi wenyewe. Mf mimi wa udsm, nimejisikia vibaya kwa posts zenu. Yaani watu mnaponda chuo, kwani waliotoa rank ya vyuo wameangalia vigezo gani? Ina maana udsm sio chuo bora? Chuo bora ni kipi sasa? Udsm bado kipo juu, sema tu baadhi ya wanafunzi wa udsm ndio wanaharibu sifa ya chuo. Sio vizuri kujumuisha tabia ya mtu na chuo anachosoma. Wewe soma ondoka na GPA nzuri ndio kinachotakiwa, ubora wa chuo unachosoma utumie vizuri na sio kuponda vyuo vingine au kulaumu vyuo vingine.

hili ndio lengo la hii thread kaka,kila mwanachuo aheshimu chuo cha mwenzake na hii migogoro ya kuligeuza jukwaa la elimu kuwa jukwaa la wafirisika mawazo yote itaisha na tutapata nafasi nzuri ya kila mwanachuo kutoa michango katika ishu mbalimbali zinazohusiana na taaluma nchin.

Swala la ubora wa chuo kwa hapa Tanzania ningependa niwe muwazi kwenye hili kiukweli baadhi ya vyuo vimeteremka ubora na haya ndio mambo ya kuyazungumzia nini kifanyike hili ubora wa vyuo vyetu hivyo viweze kurudi katika hali yake na vizidi kusonga mbele.
 
hili ndio lengo la hii thread kaka,kila mwanachuo aheshimu chuo cha mwenzake na hii migogoro ya kuligeuza jukwaa la elimu kuwa jukwaa la wafirisika mawazo yote itaisha na tutapata nafasi nzuri ya kila mwanachuo kutoa michango katika ishu mbalimbali zinazohusiana na taaluma nchin.

Swala la ubora wa chuo kwa hapa Tanzania ningependa niwe muwazi kwenye hili kiukweli baadhi ya vyuo vimeteremka ubora na haya ndio mambo ya kuyazungumzia nini kifanyike hili ubora wa vyuo vyetu hivyo viweze kurudi katika hali yake na vizidi kusonga mbele.

kama ni hivyo ni thread nzuri.

Lakini hapa kuna comments za watu wanaponda vyuo. Naona kuna watu wanaitumia hii thread kuponda na kusifia vyuo vyao.
That true mkuu,kuna hawa vijana wa udsm,IFM,IAA na mzumbe,hadi wamekua kero humu jf

Hata sisi Tia hatuna makuu ila wakaulizie wahasibu kwenye idara mbalimbali watapata stori, kizuri chajiuza bana huu msemo haupitwi na wakati

wengine hapa ndio wanatolea machungu yao.
 
Wana jukwaa hili la elimu ningependa wote tuige mfano wa hivi vyuo hapa Tanzania ambavyo havijihusishi katika kunadi uwezo wa vyuo vyao huku wahitimu wao waking'ara kitaifa na kimataifa katika utendaji kazi wao,vyuo hivyo vya kuigwa ni ARDHI,SUA,SUZA(STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR),MUHAS NA HKMU(HUBERT KAIRUKI).



mkuu hivi vyuo ulivyovitaja navikubali hasa zaid cha ardhi,jamaa wanafield za kutosha ktk kila semister sa kwann wasiwe wachapa kazi,tatizo la vyuo vinavyopenda promo za kijinga ni kwmba vinajari wanafunz kafanya nn kwnye makaratasi,m2 anakarir ili afauli,field muda mchache ofic chache,mwanafnz anafoji report,kweli kwel hapo unazalisha upupu,ukimpa kazi kivitendo anafeli,system mbovu sana hii ya baadhi ya vyuo hap tz...
 
Wana jukwaa hili la elimu ningependa wote tuige mfano wa hivi vyuo hapa Tanzania ambavyo havijihusishi katika kunadi uwezo wa vyuo vyao huku wahitimu wao waking'ara kitaifa na kimataifa katika utendaji kazi wao,vyuo hivyo vya kuigwa ni ARDHI,SUA,SUZA(STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR),MUHAS NA HKMU(HUBERT KAIRUKI).

Chuo nini bana. Muhimu uwezo wa kukifanya ulichosoma.
 
kikubwa ni ubora wa elimu unayo ipata kutoka kwa yule anaye kufundisha swala la majina,majengo ya chuo ayana tija
 
Mtu kasoma DIT kakosa kazi ila aliyesoma UDSM kapata kaz within the place of application alaf mtu anasema stil DITn chuo bora hii sio issue kwa office whats matter it jus personal perfomance in a desired post he applied and how he respect it. Na sio maswala ya kuponda vyuo
 
mie labda wakifa ndyo wataacha we mtu mpaka ameenda chuo haja kua. ni baadhi ya wale watu ambao hawna ustaarbu coz eilimu ikishaitwa ya juu regardles inatolewa chuo kipi ni elimu ili iwe elimu bora inategemea na mwanafunzi mwenyewe na siyo chuo.
 
Acha ukoloni mamboleo, kwani kingereza ndio nini? mbona nchi nyingine zilizoendelea kama wajerumani, waDutch, Japanise wanatumia lugha zao na ukiwafanyia interview obvious watashindwa kuunganisha sentensi. Umeni kera, unadai uliona aibu mbele ya Mkenya.Mkenya??? Wakenya wenyewe hamna lolote wanajifanya wanajua lugha, mbwembwe tu hawawezi kazi, pia wanongoza kwa unafiki. Mkenya yuko tayari akukanyage ili yeye apande.
 
kama ni hivyo ni thread nzuri.

Lakini hapa kuna comments za watu wanaponda vyuo. Naona kuna watu wanaitumia hii thread kuponda na kusifia vyuo vyao.



wengine hapa ndio wanatolea machungu yao.

watu bado wana hasira na kukosa vyuo na kwenda kusoma popote. Nilipata kukutana na mtu wa TIA, alisema wazi wazi kwamba hatupendi watu wa UDSM eti tunajifanya tunajua<akasahau kwamba anayejua anajua na hakuna kujifanya>, nilipompepeleleza zaidi nikaja kugundua aliangukia pua form 6, na lengo lake lilikuwa kusoma UDSM, mpaka muda huo alikuwa na bifu na NECTA.
 
watu bado wana hasira na kukosa vyuo na kwenda kusoma popote. Nilipata kukutana na mtu wa TIA, alisema wazi wazi kwamba hatupendi watu wa UDSM eti tunajifanya tunajua<akasahau kwamba anayejua anajua na hakuna kujifanya>, nilipompepeleleza zaidi nikaja kugundua aliangukia pua form 6, na lengo lake lilikuwa kusoma UDSM, mpaka muda huo alikuwa na bifu na NECTA.

nyinyi wanaadamu acheni haya mambo ya kujikweza,kumbuka maisha ni safari na safari yenyewe sio ndefu,hayo mambo ya chuo ni vitu tu vya dunia wala visikubabaishe,mimi niko chuo lakini siwezi hata siku moja kumdharau aliekosa chuo,kwahiyo kaka hiyo hadith yako ya huyo jamaa wa TIA haina mantiki kabisa,cha msingi ni yeye kusoma na kupata ujuzi wa taaluma yake imsaidie yeye na jamii yake kwa ujumla regardless amesoma chuo gani.
 
watu bado wana hasira na kukosa vyuo na kwenda kusoma popote. Nilipata kukutana na mtu wa TIA, alisema wazi wazi kwamba hatupendi watu wa UDSM eti tunajifanya tunajua<akasahau kwamba anayejua anajua na hakuna kujifanya>, nilipompepeleleza zaidi nikaja kugundua aliangukia pua form 6, na lengo lake lilikuwa kusoma UDSM, mpaka muda huo alikuwa na bifu na NECTA.

heheheheee, sure. Kuna wengine wanaponda chuo kwa sababu binafsi.
 
nyinyi wanaadamu acheni haya mambo ya kujikweza,kumbuka maisha ni safari na safari yenyewe sio ndefu,hayo mambo ya chuo ni vitu tu vya dunia wala visikubabaishe,mimi niko chuo lakini siwezi hata siku moja kumdharau aliekosa chuo,kwahiyo kaka hiyo hadith yako ya huyo jamaa wa TIA haina mantiki kabisa,cha msingi ni yeye kusoma na kupata ujuzi wa taaluma yake imsaidie yeye na jamii yake kwa ujumla regardless amesoma chuo gani.

ndugu yangu, jamaa hajawaponda watu ambao hawapo chuoni. Amewaponda watu wanaokiponda chuo kwa sababu binafsi.
watu bado wana hasira na kukosa vyuo na kwenda kusoma popote. Nilipata kukutana na mtu wa TIA, alisema wazi wazi kwamba hatupendi watu wa UDSM eti tunajifanya tunajua<akasahau kwamba anayejua anajua na hakuna kujifanya>, nilipompepeleleza zaidi nikaja kugundua aliangukia pua form 6, na lengo lake lilikuwa kusoma UDSM, mpaka muda huo alikuwa na bifu na NECTA.

sidhani kama amejidai. Watu kama hao ambao anawasema wapo wengi katika jamii zetu.
 
Back
Top Bottom