imani ernest
Senior Member
- Jan 16, 2013
- 138
- 91
kumbe heshima yangu ilikuwa inapotea bure kabisa!!!!labda ngoja nikumbuke kama ni pasco huyuhuyu niliyewahi kumweshimu ndiye anayeweza kukimbia nje ya mada yake mwenyewe na kwenda kushabikia hoja nyingine mfu kuliko ya kwake,mimi nilitegemea ungemkaripia yule ambaye angeingiza kwenye mada yako maneno kama hayo yaliyokusisimua hadi kujikita kuya promote kama vile ni ya maana kabisa kulingana na mada yako mwenyewe!!!!kweli Mungu ametughadhibikia,anazififisha hata akili zile ndogo tulizozitegemea.Wanabodi,
Leo nimeikumbuka hii, kufuatia thread fulani ya mmoja wa viongozi wa juu wa chama fulani, kualikwa mahali kwenye hoteli ya maana, naye kwenda kwenye mwaliko huo, huku amevaa mavazi rasmi ya chama chake, kulikopelekea kubezwa sana kuwa eti alitakiwa avae suti!, nimeikumbuka hii, kwa sababu, inawezekana kabisa, kiongozi huyu, akawa hana suti?!.
Hebu soma jinsi alivyo bezwa!.
Pasco.