Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alichosoma Lissu ni malalamiko toka kwa majaji waandamizi
je tume ya utumishi wa mahakama ilishirikishwa?
my friend, majaji wangekuwa wameteuliwa kwa vigezo vya ujuzi na kufuata utaratibu sahihi, hakika yake wasingekuwa mambumbumbu namna hiyo. kwa wale wanasheria wanaoenda high court wanajua hili kuwa, kuna majaji kibao ambao kwanza hawana maadili, hawana historia ya maadili huko walikotoka (either kama walikuwa kwenye sector ya AG, mawakili wa kujitegemea au mahakimu). ........wana kiburi hao, kama huamini kaulize wasajili wa mahakama kanda mbalimbali,kwa hawa wanadamu, sina la kusema....hawana maana.