Kiresua
JF-Expert Member
- May 13, 2009
- 1,184
- 259
haya bana napitia tu ahapa!!! hii kitu hii tuipe muda.... mtawatambua kwa matunda yake!!! ziache ngano na magugu zikue pamoja!!! ukifika wakati wamvuno ndo utajua ni lipi gugui au ni ipi ngano bora...
hatuwezi kusema sana kuhusi eti, eti tetesi.... mpaka lini, ukweli utajulikana tu na lazima wanaohusika watalipa...!!!
hatuwezi kusema sana kuhusi eti, eti tetesi.... mpaka lini, ukweli utajulikana tu na lazima wanaohusika watalipa...!!!