Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Mlitaka Makamba aseme nini!! Yeye anamtumikia kafiri kwa lengo la kupata mradi. Hana jingine kichwani mwake zaidi ya hilo.
ni hapo yatakapomkuta ya mbilinyi!!!!!halafu wanaemjadili mwenyewe yupo caribean anakula kuku.....
Huku watu wanajadili kumtosa...
Hahahaha.
NOT the weakest in TZ...Think in africa, and he will not be, he is already...