THE ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) and the majority of Tanzanians will rally behind president Jakaya Kikwete and vote him into office for a second term in next year's national general elections because his performance as president has impressed so far.
His presidency has impressed according to who and who has he impressed? Makamba himself, CCM or the wananchi? He should make it clear.
In my opinion he is a confused guy...don't know anything about what he is talking in regards to Kikwete's perfomance.
Nipo na tbc tv hapa;
- Asema JK ni maarufu kuliko CCM
- Wanaolalamika, Qares na Nkangaa walikuwa na wateule wao sana wanataka wamtose JK ili walete mgombea wao
- Vyama vyote, CCM, CHADEMA na NCCR wana wanachama wafanyabiashara kwa hiyo wanahitaji wenye pesa maana wakiita maskini watapata kuku.
Sijui ndugu zetu wa kijijini wameipata hii? Kuku kwao ni kitu kikubwa kutoa halafu Makamba anadharau? Nani atafikisha ujumbe vijijini jamani na wao wafanye maamuzi kuwa sasa basi. Kuku zetu tunapeleka kwingine.
Nipo na tbc tv hapa;
- CCM wana wanachama wafanyabiashara kwa hiyo wanahitaji wenye pesa maana wakiita maskini watapata kuku.
Nipo na tbc tv hapa;
- Asema JK ni maarufu kuliko CCM
Mhhh.. people can come up with statistics to verfy/prove any thing...!!Mnh!? It is statistically possible. JK, was voted to power by 10,590,016 Tanzanians. CCM had approximately 3M members by then. But it is also possible that the membership figure has changed while the graph for his popularity might be descending towards x-axis as well
dnt you remember that at that time of election was an order that everyone on 18 has to be registered to vote?kama hukwenda kupiga kura basi imekula kwako,kura yako inaenda c.c.m hata kama si mwanachama,na ndio jibu la hiyo idadi kuzidiMnh!? It is statistically possible. JK, was voted to power by 10,590,016 Tanzanians. CCM had approximately 3M members by then. But it is also possible that the membership figure has changed while the graph for his popularity might be descending towards x-axis as well
Na Leon Bahati
1. watu wenye fikra kwamba CCM inaweza kumtosa mwenyekiti wake kwenye mbio za urais wakati wa uchaguzi mkuu wa mwakani, "ni wehu".
2. "Mtu mwenye akili nzuri hawezi kusema kwamba Rais Kikwete ameshindwa kutekeleza wajibu wake. Anayefikiria hivyo, ni mwehu," alisema Makamba alipotakiwa kutoa maoni yake kuhusu kauli hizo.
.