NanyaroEDI
New Member
- Jul 16, 2011
- 3
- 1
Kufuatia kujiuzulu ubunge kwa Rostam Aziz, ni wakati muafaka kuelekeza nguvu zetu kuhakikisha kwamba Rostam anafikishwa mahakamani ili akajibu tuhuma zinazomkabili za kuhujumu uchumi wa nchi yetu. Na ni lazima kuhakikisha kuwa kipindi hiki mkurugenzi wa mashitaka ya jinai (DPP) Eliezer Feleshi, haandai mashitaka dhidi ya Rostam kisanii kama alivyozoea.