SILVANUS NJENGA
Senior Member
- Feb 8, 2012
- 174
- 12
Tanzania ni moja na Watanzania wote ni ndugu. Hivyo tunaimizwa kuendelea kuguswa na namna ileile na athari zilizowapata Watanzania wa mkoani Kagera.
Bhass kila mwenye kuguswa aunge mkono jitihada za Serikali kwa kuchangia chochote kwenye Akaunti ifuatayo:-
jina la Akaunti:- KAMATI YA MAAFA KAGERA
Namba ya Akaunti:- 0152225617300
Swift Code: CORUtztz
CRDB BANK, BUKOBA.
"Kutoa ni moyo si utajiri"
Bhass kila mwenye kuguswa aunge mkono jitihada za Serikali kwa kuchangia chochote kwenye Akaunti ifuatayo:-
jina la Akaunti:- KAMATI YA MAAFA KAGERA
Namba ya Akaunti:- 0152225617300
Swift Code: CORUtztz
CRDB BANK, BUKOBA.
"Kutoa ni moyo si utajiri"