Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Wow! kapendeza huyo kisura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
My aim/advice is TO KEEP IT SIMPLE. . .ALWAYS. You can never go wrong with that.
Vitu usivyohitaji usitumie kisa tu kipo kwenye fashion au fulani katumia. Kuna mtu utakuta lashes kama msitu, rangi machoni,mdomoni na mashavuni kama 'disco light'. . .kucha utadhani halagi kwa mikono. Wakati bila hayo anapendeza zaidi kwasababu anakua halisi.
Sometime inakua ngumu sana kumwambia mtu afanye nini ili apendeze
Haswa pale anapokua kajiremba na kwa mtazamo wake yuko "smart"
japokua kwa mtazamo wa wengi sio.
Hivi unaweza vipi kujiweka smart kiasi kwamba kila atakae kuona
hata kama hata sema ila ndani ya moyo wake aseme "wow".
Na ni vipi unaweza kujiremba ili usiwe kituko na kikwazo mbele
za wenzako?
Nimeona hii picha nimepata maswali mengi sana.
Sio kwa wadada peke yao,hata wakaka hua wanakosea sana tu.
Tupeane darasa.
huyo wa kwanza kanivutia hata mi huwa napaka hivyo