Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
tatizo sio vyakula au kuwa na mwili mkubwa, hapo ndo wengi tunakosea. si mpaka umwingilie mwanamke Mara 5 ndo anaejoi... trust me guys, unaweza ata usimwingilie mwanamke then akawa satisfied mo thn ambavyo mngefanya Mara 10.
sababu ya wanaume kushidwa kuwa satisfy grls inatokana na most of boys washindwa kuwaandaa wapenzi wao, for what i kno, before ujamwingilia mwanamke inatakiwa awe amekutangulia mo thn three tymz ata the moment unamwingilia ata ukisema usipate bao she will be happy and trust me, kesho atakuja anataka tena.
mapenzi sio mashindano eti umpandie mwenzio Mara 7 ndo ujione kidume, na unaweza panda ata Mara kumi na hakuna ilichofanya. just be creative and make sure unajua mapenzi wako anataka nini...
NB: uwezi kufanya mapenzi na msichana wa mtaani thn ukapiga ata bao 2, most of the tym ukipata kamoja shida yako inakua imeisha na unajuta ata kwanini ulifanya, tafuta mtu unayempenda, tulia nae then utanambia. ndo mawazo yangu yameishia hapo.
Mzee kwenye performance hata ukifanya maandalizi kama ya Brazil inavyojiandaa na kombe la dunia,kama mwili wako upo unfit kutokana na unhealthy eating habits,performance na satisfaction lazima iwe low.
Ni heri msisitizo utiliwe kwenye masuala yote mawili. Yaani healthy eating and living na foreplay ya kutosha.