medsebapol
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 327
- 225
USHAURI WANGU KATIKA MECHI ZA KIMATAIFA WAGENI WAKIWA WANAKUJA BONGO
"Waarabu na wengine wakija tuwashushie Kigoma airport. Tia kwenye basi hadi Kahama, Nzega, Singida, kula kushoto Babati tokea Arusha, Moshi. Ingia Mombo, Korogwe hadi Msata. Zama Bagamoyo, Tegeta mpaka Mwenge, Makumbusho mpaka Posta. Vusha Kigamboni, Kongowe, Tandika tukifika Buza kula kushoto hadi Jeti. Zama mpaka Kinyelezi, tunaenda kuwalaza Mbezi Malamba mawili. Kisha tunawaambia kwakuwa Serikali inahamia Dodoma basi na mechi pia imehamishiwa katika uwanja wa jamhuri Dodoma"
HALAFU TUONE KAMA KWELI WATATOKA.
"Waarabu na wengine wakija tuwashushie Kigoma airport. Tia kwenye basi hadi Kahama, Nzega, Singida, kula kushoto Babati tokea Arusha, Moshi. Ingia Mombo, Korogwe hadi Msata. Zama Bagamoyo, Tegeta mpaka Mwenge, Makumbusho mpaka Posta. Vusha Kigamboni, Kongowe, Tandika tukifika Buza kula kushoto hadi Jeti. Zama mpaka Kinyelezi, tunaenda kuwalaza Mbezi Malamba mawili. Kisha tunawaambia kwakuwa Serikali inahamia Dodoma basi na mechi pia imehamishiwa katika uwanja wa jamhuri Dodoma"
HALAFU TUONE KAMA KWELI WATATOKA.