Sharp lady
Senior Member
- Feb 23, 2011
- 129
- 13
Kulingana na uwepo wa mahitaji makubwa ya kuongea mambo ya msingi yahusiyo taifa letu kwa uhuru bila kufungamana na upande wowote tunahitaji TV channel iliyohuru yenye kutupa nafasi yakuyaongea kwa kina yale yote tunayoyahitaji kuhusu taifa letu bila kusahu tuweze kuwa na uwezo wa kuwaajiri waandishi wasio fungamana na upande wowote.
au mnasemaje wadau? Naomba kuwakilisha.
au mnasemaje wadau? Naomba kuwakilisha.