Tuendelee tu na unafiki wetu

Mphamvu

JF-Expert Member
Jan 28, 2011
10,702
3,285
Waböngo kwa doublestandardshatufai.
Polisi wakiwabonda CHADEMA kwa kukiuka amri halali wanakuwa wavunjifu wa haki za binadamu na wanaonekana wako juu ya sheria. Yaliyomkuta boko na mamba yamemkuta, leo kila mbongo mkristo anawasifu polisi kwa kuwadhibiti mujahedeen.
Tuendeleeni tu na uzandiki, ila jueni kuwa hawa mapolisi hawana undugu ofisini, unyama niliouona kideoni sio wa kushabikia hata kidogo...
 
Vitu viwili tofauti, CDM hawakupiga mtu wala kuharibu mali ya mtu yeyote, pia walikuwa na kibali mkononi cha kuruhusiwa kuandamana. Isitoshe CDM walipokusanyika hawakuwa na siraha au dalili za kufanya fujo, walikusanyika wakilenga lengo la mkusanyiko. Sasa waisilamu kibali/taarifa ya maandamano hawajatoa, wanaandamana kwa kufunga barabara kwa mawe na kuchoma matairi, siraha za kujihami mkonono(visu na mawe), maneno ya kushiria shari. isitoshe hapo kabla walishachoma makanisa nakuharibu mali za makanisa kadhaa huku wakiiba sadaka kwa njaa zao.

Huwezi ukalinganisha majambo haya hata kidogo
 
Waböngo kwa doublestandardshatufai.
Polisi wakiwabonda CHADEMA kwa kukiuka amri halali wanakuwa wavunjifu wa haki za binadamu na wanaonekana wako juu ya sheria. Yaliyomkuta boko na mamba yamemkuta, leo kila mbongo mkristo anawasifu polisi kwa kuwadhibiti mujahedeen.
Tuendeleeni tu na uzandiki, ila jueni kuwa hawa mapolisi hawana undugu ofisini, unyama niliouona kideoni sio wa kushabikia hata kidogo...
jina lako tosha kabisa na mawazo yako

chadema walichoma cha mtu?? au kuvamia raia wasio na idea yoyote ya vurugu??

una bahati sana leo sijanywa
 
Wacha watiwe bakora na kazi ngumu gerezani kwa miezi sita, yaani madokta wamegoma na kero za umeme wamekaa kama picha za ukutani. Ila mshenzi Ponda wamemkamata kumuhoji wanaandamana...........hawawote wapelekwe wakafanye kazi ngumu kidogo.
 
Waböngo kwa doublestandardshatufai.
Polisi wakiwabonda CHADEMA kwa kukiuka amri halali wanakuwa wavunjifu wa haki za binadamu na wanaonekana wako juu ya sheria. Yaliyomkuta boko na mamba yamemkuta, leo kila mbongo mkristo anawasifu polisi kwa kuwadhibiti mujahedeen.
Tuendeleeni tu na uzandiki, ila jueni kuwa hawa mapolisi hawana undugu ofisini, unyama niliouona kideoni sio wa kushabikia hata kidogo...


Mkuu hawa jamaa si unaona mwenyewe damage wanafanya CDM hakuna kitu kama hicho!
 
sikujua bongo kuna 'mujahideen'?! lol, wamatumbi kwa kujipendekeza na tamaduni za wengine hamjambo! seriously, kuigaiga kutawatokea puani, basically sijaelewa kwanini polisi hawajutumia risasi za moto, i think these 'mujahideen' fully deserved it.
 
Chadema hawakuharibu mali ya mtu wala.kuchoma moto kitu cha mtu, sio muislamu wala.mpagani.wala mkristo. Kama unafanya lolote, usiguse cha mtu hapo polisi wakikushughulikia tutapiga kelele. Hata freemasson,ukikiuka taratibu wanakutweza.
 
Afu na wewe huyo kwenye avatar utamcharaza hadi lini? Mbona huna huruma jamani, hata kama ni spanking hii too much.
sikujua bongo kuna 'mujahideen'?! lol, wamatumbi kwa kujipendekeza na tamaduni za wengine hamjambo! seriously, kuigaiga kutawatokea puani, basically sijaelewa kwanini polisi hawajutumia risasi za moto, i think these 'mujahideen' fully deserved it.
 
Waböngo kwa doublestandardshatufai.
Polisi wakiwabonda CHADEMA kwa kukiuka amri halali wanakuwa wavunjifu wa haki za binadamu na wanaonekana wako juu ya sheria. Yaliyomkuta boko na mamba yamemkuta, leo kila mbongo mkristo anawasifu polisi kwa kuwadhibiti mujahedeen.
Tuendeleeni tu na uzandiki, ila jueni kuwa hawa mapolisi hawana undugu ofisini, unyama niliouona kideoni sio wa kushabikia hata kidogo...

Mbona povu linakutoka sana...?
 
Afu na wewe huyo kwenye avatar utamcharaza hadi lini? Mbona huna huruma jamani, hata kama ni spanking hii too much.
he he..wishes zake are my commands..si unaona nikishamaliza mjeledi mmoja napewa mineno mingine ya kimahabat ya kunihamasisha niendelee? mwe !
 
Mwanangu Mphamvu umenena. Haki za binadamu zinapaswa kufaidiwa na wote bila kujali kama ni wahalifu au washukiwa. Presumption of innocence is the domain of everybody. Ni bahati mbaya kuwa tumewaonyesha polisi udhaifu wetu kuwa hatutendi haki hadi tuwe wanufaika. Mwanangu inasikitisha ingawa ukiangalia kwa makini hakuna wa kulaumu wala kuhurumia. Serikali inavunja haki za binadamu sawa na watu wanavyovunja na kutaka kudhulumu haki za wenzao. Kwa mfano kuchoma makanisa na kukojolea korani vinaingiliana vipi? You have made a very strong case boy.
 
Vitu viwili tofauti, CDM hawakupiga mtu wala kuharibu mali ya mtu yeyote, pia walikuwa na kibali mkononi cha kuruhusiwa kuandamana. Isitoshe CDM walipokusanyika hawakuwa na siraha au dalili za kufanya fujo, walikusanyika wakilenga lengo la mkusanyiko. Sasa waisilamu kibali/taarifa ya maandamano hawajatoa, wanaandamana kwa kufunga barabara kwa mawe na kuchoma matairi, siraha za kujihami mkonono(visu na mawe), maneno ya kushiria shari. isitoshe hapo kabla walishachoma makanisa nakuharibu mali za makanisa kadhaa huku wakiiba sadaka kwa njaa zao.

Huwezi ukalinganisha majambo haya hata kidogo

Acha uongo wewe ndo nyie wanafiki wenyewe mnapotosha jamii..kule morogoro wchadema alivyopigwa mabom walikua na kibali?walipewa kibali cha mkutano wao wakafanya maandamano,kwahiyo umeona hawa polisi ni wehu wawape kibali halaf wakawapige mabomu??
 
Waböngo kwa doublestandardshatufai.
Polisi wakiwabonda CHADEMA kwa kukiuka amri halali wanakuwa wavunjifu wa haki za binadamu na wanaonekana wako juu ya sheria. Yaliyomkuta boko na mamba yamemkuta, leo kila mbongo mkristo anawasifu polisi kwa kuwadhibiti mujahedeen.
Tuendeleeni tu na uzandiki, ila jueni kuwa hawa mapolisi hawana undugu ofisini, unyama niliouona kideoni sio wa kushabikia hata kidogo...

Muislamu utamjua KWA Maneno na matendo yake!!!!! Hutawaliwa na hisia zaidi KULIKo uhalisia!!!! Tehe tehe tehe!!!!
 
Wacha watiwe bakora na kazi ngumu gerezani kwa miezi sita, yaani madokta wamegoma na kero za umeme wamekaa kama picha za ukutani. Ila mshenzi Ponda wamemkamata kumuhoji wanaandamana...........hawawote wapelekwe wakafanye kazi ngumu kidogo.


aisee we acha tu,

Mwalimu wao ni kipofu........ anawapeleka shimoni.
 
Acha uongo wewe ndo nyie wanafiki wenyewe mnapotosha jamii..kule morogoro wchadema alivyopigwa mabom walikua na kibali?walipewa kibali cha mkutano wao wakafanya maandamano,kwahiyo umeona hawa polisi ni wehu wawape kibali halaf wakawapige mabomu??
Endeleeni na fujo zenu muone kama hamjabaki kuwa ombaomba wa madukani na mabarabarani baada ya kuvunjwa miguu na kubaki viwete. Mnafanya upuuzi mnadhani tutawaacha. CDM walikuwa wanapewa vibali kisha polisi wanatangaza kubatilisha uhalali wa vibali walivyopewa na sio kama unavyosema wewe
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom