Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,285
Waböngo kwa doublestandardshatufai.
Polisi wakiwabonda CHADEMA kwa kukiuka amri halali wanakuwa wavunjifu wa haki za binadamu na wanaonekana wako juu ya sheria. Yaliyomkuta boko na mamba yamemkuta, leo kila mbongo mkristo anawasifu polisi kwa kuwadhibiti mujahedeen.
Tuendeleeni tu na uzandiki, ila jueni kuwa hawa mapolisi hawana undugu ofisini, unyama niliouona kideoni sio wa kushabikia hata kidogo...
Polisi wakiwabonda CHADEMA kwa kukiuka amri halali wanakuwa wavunjifu wa haki za binadamu na wanaonekana wako juu ya sheria. Yaliyomkuta boko na mamba yamemkuta, leo kila mbongo mkristo anawasifu polisi kwa kuwadhibiti mujahedeen.
Tuendeleeni tu na uzandiki, ila jueni kuwa hawa mapolisi hawana undugu ofisini, unyama niliouona kideoni sio wa kushabikia hata kidogo...