Tuelimishane kuhusu gsm,cdma, hd, hdtv, ig,2g,3g,4g

.......
Sammary: Kwa hiyo ndugu zangu katika Three G (3G) Teknolojia inayotumika ni CDMA kwa Hiyo its Miss leading kusema kwamba Vodacom hawana CDMA.

Aksante sana kwa kudadavua hizi teknolojia na misamiati hii. Swali langu ukisema Teknolojia inayotumika kwenye 3G ni CDMA. Mbona ukisoma soma inaoenekana kwenye GSM teknoloia zinazotumika ni TDMA na FDMA. kwamba Cell (Mnara) moja na myingine frequecy resuse inawezekana kwa kutumia FDMA na watumiaji wa simu ni TDMA.


  • Una maanaisha Voda wanatumia CDMA kwenye Voice pia au wanatumia CDMA kwenye Data/internet tu kama alivyoeleza mtaalam mmoja hapo juu?
  • Una maanisha GSM vinaweza kusafirisha na kupokea datakatika format ya CDMA?
  • Pia katika kusoma nimeonakuwa CDMA inahodhiwa na kampuni ya mrekani Qualcom. kutengenza kifaa kinachotumia teknolojia hiyo lazima hao jama walipwe tofauti na kutengeza kifaa kinachotumia TDMA au FDMA. Je nimeelewa au
 
4 G! Hii inaitwa LTE yaani Long Term Evolution, hii nadhani bado inafanyiwa test hata huko marekani bado hawajalaunch, kwa jina Lingine wanaita Mobile Broadband Service

Hii itakuwa na Dowload speed inayofikia 150MBps

Tuendelee kueleimishana
Mi nilifikiria 4G ni teknolojia ya kutumia Holography.

 
Last edited by a moderator:
Aksante sana kwa kudadavua hizi teknolojia na misamiati hii. Swali langu ukisema Teknolojia inayotumika kwenye 3G ni CDMA. Mbona ukisoma soma inaoenekana kwenye GSM teknoloia zinazotumika ni TDMA na FDMA. kwamba Cell (Mnara) moja na myingine frequecy resuse inawezekana kwa kutumia FDMA na watumiaji wa simu ni TDMA.

GSM ni 2G Standard inayotumia FDMA pamoja na TDMA, GSM si 3G bali ukitaka kutoka kwenye GSM ambayo ni 2G (Mfano Vodacom, Zain na TigO) kwenda kwenye 3 ni Lazima uchukue 3GPP path ni Lazima Uende katika 3G Standard iitwayo UMTS au WCDMA ambayo hutumia teknolojia ya CDMA


[*]Una maanaisha Voda wanatumia CDMA kwenye Voice pia au wanatumia CDMA kwenye Data/internet tu kama alivyoeleza mtaalam mmoja hapo juu?

Voice Traffic ya Vodacom inakuwa carried na GSM part of the network though hata kwenye 3g Part of the network voice inaweza kupita ila Data ni lazima ipitie kwenye 3 G network part na hata switch zao ni tofauti kabisa

[*]Una maanisha GSM vinaweza kusafirisha na kupokea datakatika format ya CDMA?

These techonolgy are interoperable ndiyo maana mtu wa TTCL mobile anaweza kumpigia simu mtu wa Vodacom ila Line haziingiliani
[*]Pia katika kusoma nimeonakuwa CDMA inahodhiwa na kampuni ya mrekani Qualcom. kutengenza kifaa kinachotumia teknolojia hiyo lazima hao jama walipwe tofauti na kutengeza kifaa kinachotumia TDMA au FDMA. Je nimeelewa au

May be Unazungumzia CDMA katika Perspective ya Standard na Si Techology

Asante
 
Ok ok kuna article nimesoma zuri sana sana baada ya kusoma comment za mtaalam Albedo.
Summary yao inasema

  • 1.WCDMA is a 3G technology while GSM is a 2G technology
  • GSM is slowly being phased out in favor of CDMA
  • GSM is still more widespread than CDMA
  • WCDMA and GSM uses different frequency bands
  • WCDMA offers much faster data speeds than GSM
  • WCDMA would soon replace GSM
Angalizo
Wanasisitiza kuwa kama unanunua simu mpya sasa hakikisha ina support pia WCMDA kwani huko ndiko tunakoelekea . nanukuu

Although WCDMA support has become quite common in most mobile phones, there are still some models that do not support it. When you are buying a mobile phone, you should look at its specifications in order to make sure that it supports WCDMA and the frequencies available in your area. This is to ensure that you can use it in your country's networks. Even non-GSM networks are choosing to add WCDMA support as it is the most popular 3G technology. Sooner or later older and competing network standards, namely GSM, CDMA, and EV-DO, would probably be phased out and replaced with WCDMA.
 
Ok ok kuna article nimesoma zuri sana sana baada ya kusoma comment za mtaalam Albedo.
Summary yao inasema


  • 1.WCDMA is a 3G technology while GSM is a 2G technology
  • GSM is slowly being phased out in favor of CDMA
  • GSM is still more widespread than CDMA
  • WCDMA and GSM uses different frequency bands
  • WCDMA offers much faster data speeds than GSM
  • WCDMA would soon replace GSM

Angalizo
Wanasisitiza kuwa kama unanunua simu mpya sasa hakikisha ina support pia WCMDA kwani huko ndiko tunakoelekea . nanukuu



Fullarticle hii hapa @

[/COLOR][/LEFT]

Asante sana Mtazamaji kwa Samary Nzuri Ila Hapo nimeweka Red maana siko tunakoelekea bali Ndipo Tulipo Mkuu na Tumeshapita maana Voda wana HSPA na WIMAX ambayo speed yake ni kubwa sana asa compared to WCDMA
 
Mi nilifikiria 4G ni teknolojia ya kutumia Holography.............

No sio sahihi kwenye stekonolojia ya simu 3G na 4G mkazo zaidi uko kwenye uwezo wa kifaa cha mobile kusafirisha na kupokea data kubwa na hata ikiwa kwenye movement. Lengo ni kufanya mobile iweze kuwa na connection yenge nguvu kama ya ADSL cable modem

Kwa hiyo whole concept behind 3G na 4G ni jinsi gani mobile phone zinaweza kudowload na ku upload hata file kubwa kama video on demand na sio Holography
 
Asante sana Mtazamaji kwa Samary Nzuri Ila Hapo nimeweka Red maana siko tunakoelekea bali Ndipo Tulipo Mkuu na Tumeshapita maana Voda wana HSPA na WIMAX ambayo speed yake ni kubwa sana asa compared to WCDMA

Nachomaansha ni kwamba ni simu ngapi zitaendelea kufanya kazi kama Vodacom wakiamua kuzima mitambo ya GSM nakutumia ya WCDMA. Kwa mujibu wa articlekama nimeelewa ni kwamba kuna simu ambazo hazina dualband au Quadband capability . yaani zimetengezwa kwa ajili ya GSM tu.

Hapa nacheki kasimu kangu ka a nokia naona kwenye Network selection kuna UMTS na GSM na Dual Mode.

Anyway nimeelimika sana .Nimejuda kinachodelea japo kiasi kampuni za simu na upande wa mtumiaji.
 
Nachomaansha ni kwamba ni simu ngapi zitaendelea kufanya kazi kama Vodacom wakiamua kuzima mitambo ya GSM nakutumia ya WCDMA. Kwa mujibu wa articlekama nimeelewa ni kwamba kuna simu ambazo hazina dualband au Quadband capability . yaani zimetengezwa kwa ajili ya GSM tu.

Hapa nacheki kasimu kangu ka a nokia naona kwenye Network selection kuna UMTS na GSM na Dual Mode.

Anyway nimeelimika sana .Nimejuda kinachodelea japo kiasi kampuni za simu na upande wa mtumiaji.

Asante sana mkuu

GSM kwa tanzania Inafanya kazi katika band 3: 900 MHz, 1800MHz pamoja na Extended GSM ambayo iko ndani ya GSM 900. UMTS inafanya kazi katika band ya 2100 MHz

Kwa hiyo kama Simu yako ni Quad Band ( Yaani 850, 900, 1800 na 1900) Inaweza kufanya kazi katika Mtandao wa GSM as well as UMTS ila kama simu yako ni Dual band ( 900, 1800) basi jamaa wakiamua kuzima 2G ( Of whichi si leo wala kesho watazima) basi hutaweza kuaccess 3G na ukienda Marekani na simu yako ya Dual band hutaweza kuwasiliana maana Marekani wao wanatumia GSM katika band ya 850 na 1900
 
In cellular service there are two main competing network technologies: Global System for Mobile Communications (GSM) and Code Division Multiple Access (CDMA). Cellular carriers including Sprint PCS, Cingular Wireless, Verizon and T-Mobile use one or the other. Understanding the difference between GSM and CDMA will allow you to choose a carrier that uses the preferable network technology for your needs.

The GSM Association is an international organization founded in 1987, dedicated to providing, developing, and overseeing the worldwide wireless standard of GSM. CDMA, a proprietary standard designed by Qualcomm in the United States, has been the dominant network standard for North America and parts of Asia. However, GSM networks continue to make inroads in the United States, as CDMA networks make progress in other parts of the world. There are camps on both sides that firmly believe either GSM or CDMA architecture is superior to the other. That said, to the non-invested consumer who simply wants bottom line information to make a choice, the following considerations may be helpful.
Coverage: The most important factor is getting service in the areas you will be using your phone. Upon viewing competitors' coverage maps you may discover that only GSM or CDMA carriers offer cellular service in your area. If so, there is no decision to be made, but most people will find that they do have a choice.
Data Transfer Speed: With the advent of cellular phones doing double and triple duty as streaming video devices, podcast receivers and email devices, speed is important to those who use the phone for more than making calls. CDMA has been traditionally faster than GSM, though both technologies continue to rapidly leapfrog along this path. Both boast "3G" standards, or 3rd generation technologies.
EVDO, also known as CDMA2000, is CDMA's answer to the need for speed with a downstream rate of about 2 megabits per second, though some reports suggest real world speeds are closer to 300-700 kilobits per second (kbps). This is comparable to basic DSL. As of fall 2005, EVDO is in the process of being deployed. It is not available everywhere and requires a phone that is CDMA2000 ready.
GSM's answer is EDGE (Enhanced Data Rates for GSM Evolution), which boasts data rates of up to 384 kbps with real world speeds reported closer to 70-140 kbps. With added technologies still in the works that include UMTS (Universal Mobile Telephone Standard) and HSDPA (High Speed Downlink Packet Access), speeds reportedly increase to about 275-380 kbps. This technology is also known as W-CDMA, but is incompatible with CDMA networks. An EDGE-ready phone is required.
In the case of EVDO, theoretical high traffic can degrade speed and performance, while the EDGE network is more susceptible to interference. Both require being within close range of a cell to get the best speeds, while performance decreases with distance.
Subscriber Identity Module (SIM) cards: In the United States only GSM phones use SIM cards. The removable SIM card allows phones to be instantly activated, interchanged, swapped out and upgraded, all without carrier intervention. The SIM itself is tied to the network, rather than the actual phone. Phones that are card-enabled can be used with any GSM carrier.
The CDMA equivalent, a R-UIM card, is only available in parts of Asia but remains on the horizon for the U.S. market. CDMA carriers in the U.S. require proprietary handsets that are linked to one carrier only and are not card-enabled. To upgrade a CDMA phone, the carrier must deactivate the old phone then activate the new one. The old phone becomes useless.
Roaming: For the most part, both networks have fairly concentrated coverage in major cities and along major highways. GSM carriers, however, have roaming contracts with other GSM carriers, allowing wider coverage of more rural areas, generally speaking, often without roaming charges to the customer. CDMA networks may not cover rural areas as well as GSM carriers, and though they may contract with GSM cells for roaming in more rural areas, the charge to the customer will generally be significantly higher.
International Roaming: If you need to make calls to other countries, a GSM carrier can offer international roaming, as GSM networks dominate the world market. If you travel to other countries you can even use your GSM cell phone abroad, providing it is a quad-band phone (850/900/1800/1900 MHz). By purchasing a SIM card with minutes and a local number in the country you are visiting, you can make calls against the card to save yourself international roaming charges from your carrier back home. CDMA phones that are not card-enabled do not have this capability, however there are several countries that use CDMA networks. Check with your CDMA provider for your specific requirements.
According CDG.org, CDMA networks support over 270 million subscribers worldwide, while GSM.org tallies up their score at over 1 billion. As CDMA phones become R-UIM enabled and roaming contracts between networks improve, integration of the standards might eventually make differences all but transparent to the consumer.

Source:wiseGEEK/USA/2011
 
Labda niulize jamb o moja hapa
Hivi katika kurusha na utumaji wa picha za video vituo kama Aljazeera ,CNN nk wanatumia Tecknolojia ipi hasa katika kutuma picha
Mathalani kwa tanzania vituo vingi vya TV wanatumia Conventers kutoka kwenye AVI Format au HDV Format kubwa ikuwa ni kupunguza ukumbwa ili file zao ziweze kutmwa via Internet.

Mfano wanaopokea picha zilizobadilishwa kutoka AVI kwenda ama MPG4 au FLV ubora wake unapungua sana je wenzetu wanafanyeje naomba wataala mtujuze.
 
Labda niulize jamb o moja hapa
Hivi katika kurusha na utumaji wa picha za video vituo kama Aljazeera ,CNN nk wanatumia Tecknolojia ipi hasa katika kutuma picha
Mathalani kwa tanzania vituo vingi vya TV wanatumia Conventers kutoka kwenye AVI Format au HDV Format kubwa ikuwa ni kupunguza ukumbwa ili file zao ziweze kutmwa via Internet.

Mfano wanaopokea picha zilizobadilishwa kutoka AVI kwenda ama MPG4 au FLV ubora wake unapungua sana je wenzetu wanafanyeje naomba wataala mtujuze.

Though i havent yet understood you. Your qestion is very interesting and qualify to have its own thread where people can discus these issues together with
ANALOG VS DIGITAL casting.
Video and Sound formats,
compression/decompression techiniques
Decoding and coding of Video
Streaming of Video and radio casting on the internet
 
Back
Top Bottom