Haya wadau, kama mjuavyo, ile mada ya Kikwete kuanguka imefungwa.
Sasa hii mpya nimeifungua ili tuendeleze libeneke.
Watanzania tunataka tuambiwe ukweli kuhusu afya ya amirijeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama wa nchi yetu. Kumbukeni kuwa mficha uchi hazai (au hapati raha ya mapenzi).
Baada ya kuanguka, tunataka madaktari watufahamishe zaidi juu ya afya ya rais wetu.
Sasa hii mpya nimeifungua ili tuendeleze libeneke.
Watanzania tunataka tuambiwe ukweli kuhusu afya ya amirijeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama wa nchi yetu. Kumbukeni kuwa mficha uchi hazai (au hapati raha ya mapenzi).
Baada ya kuanguka, tunataka madaktari watufahamishe zaidi juu ya afya ya rais wetu.