Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
- Thread starter
- #21
Vizuri sana!Kwa kawaida kila kitu lazima kigawiwe kwa mbili au moja ima kibakie au kimalizike.Na ndipo huanza kujua hizo siri. Mimi napenda sana hisabu za kutoa kuliko zinginezo!.Ukifuatilia namba ulizoziweka hapo...ni dhahiri zimejaa siri nyingi zilizopo duniani.Sawa kabisa.Lakini wewe ulicho tuambia ni observation yako kuhusu three consecutive numbers.Sasa tupe siri ya namba hizo kama kichwa cha thread yako kinavyo sema.Nikuongoze kidogo.Mara nyingi tumedhani kwamba numbers are only physical items,lakini ukweli ni kwamba they also have a spiritial significance.In fact they are more spritual than physical.For example 3,8,11,33,666,13,21,7 etc.Now why those.