meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
kumekuwa na ongezeko kubwa la migogoro kati ya wafanyakazi na serikali.
Haiingii akilini kuona kila sekta ya wafanyakazi ikiingia kwenye mgogoro na serikali huku TUCTA ambayo ndio mwamvuli wa vyama vyote vya wafanyakazi wakiwa kimya.hii inamaanisha hakuna mawasiliano kati ya TUCTA na vyama vya wafanyakazi.hakuna haja ya kuwakata wafanyakazi fedha zao huku matakwa yao hayaelezwi au kusimamiwa na TUCTA.nashauri TUCTA ivunjwe na kubakia na mashirikisho ya kisekta ya wafanyakazi.
Haiingii akilini kuona kila sekta ya wafanyakazi ikiingia kwenye mgogoro na serikali huku TUCTA ambayo ndio mwamvuli wa vyama vyote vya wafanyakazi wakiwa kimya.hii inamaanisha hakuna mawasiliano kati ya TUCTA na vyama vya wafanyakazi.hakuna haja ya kuwakata wafanyakazi fedha zao huku matakwa yao hayaelezwi au kusimamiwa na TUCTA.nashauri TUCTA ivunjwe na kubakia na mashirikisho ya kisekta ya wafanyakazi.