TUCTA ina faida gani kwa sasa?
Jamani hawa TUCTA wameshindwa kulaani hata huu ufisadi mkubwa uliofanywa na Mawaziri.
Sasa kama hela nyingi hivi zimeliwa, je wafanyakazi si wanaweza kulipwa hata 500,000 kwa Mwezi?
Pia TUCTA imeshindwa kuzibana KAMPUNI binafsi ili zilipe wafanya kazi wa Sekta binafsi vizuri. Vyama vya sekta binafsi viko hoi na viongozi wake ni wanafiki. Viongozi wakuu wa TUCTA mmepewa Nini?
TUCTA imeshindwa kuwabana Mashirika ya Hifadhi kama NSSF, NPF, LAPF n.k ili zikopeshe wanachama wake
Sasa TUCTA inasimama au inatakiwa iwepo kwa ajili ya nini?
kama TUCTA inashindwa hata kuwaunganisha wafanyakazi wa Sekta binafsi na serikali ili kuandamana kulaani ufisadi watanzania tumeisha.
jamani Watanzania tumegawanyika kwa misingi gani?
Jamani hawa TUCTA wameshindwa kulaani hata huu ufisadi mkubwa uliofanywa na Mawaziri.
Sasa kama hela nyingi hivi zimeliwa, je wafanyakazi si wanaweza kulipwa hata 500,000 kwa Mwezi?
Pia TUCTA imeshindwa kuzibana KAMPUNI binafsi ili zilipe wafanya kazi wa Sekta binafsi vizuri. Vyama vya sekta binafsi viko hoi na viongozi wake ni wanafiki. Viongozi wakuu wa TUCTA mmepewa Nini?
TUCTA imeshindwa kuwabana Mashirika ya Hifadhi kama NSSF, NPF, LAPF n.k ili zikopeshe wanachama wake
Sasa TUCTA inasimama au inatakiwa iwepo kwa ajili ya nini?
kama TUCTA inashindwa hata kuwaunganisha wafanyakazi wa Sekta binafsi na serikali ili kuandamana kulaani ufisadi watanzania tumeisha.
jamani Watanzania tumegawanyika kwa misingi gani?