Siku zote magazeti yanayochapishwa na kampuni ya Habari Corporation chini ya mhariri mtendaji muhingo rweyemamu yamekuwa yakiandika habari zenye kutia shaka ile dhana ya weledi katika taaluma ya habari.
Ukitizama trend ya kinachoandikwa sasa hivi baada ya Dr. Slaa kuchukua fomu ya kuomba kugombea Urais kupitia CHADEMA, wanamuhusisha Slaa na Kanisa Katoliki na Wakristu, angalia rai ya jana na pia mtanzania kwa nyakati mbalimbali, na tunashangaa serikali imekaa kimya kwa uchochezi huu unaofanywa na Habari corporation kwa kuwaaminisha watu siasa chafu zenye mwelekeo wa udini, other wise tunataka kuamini serikali ndio imewatuma hawa wehu wa HC.
Ni vema sasa tukachukua tahadhari na makanjanja hawa wasiokuwa na aibu na wasioitakia mema Tanzania.
nawasilisha.
Ukitizama trend ya kinachoandikwa sasa hivi baada ya Dr. Slaa kuchukua fomu ya kuomba kugombea Urais kupitia CHADEMA, wanamuhusisha Slaa na Kanisa Katoliki na Wakristu, angalia rai ya jana na pia mtanzania kwa nyakati mbalimbali, na tunashangaa serikali imekaa kimya kwa uchochezi huu unaofanywa na Habari corporation kwa kuwaaminisha watu siasa chafu zenye mwelekeo wa udini, other wise tunataka kuamini serikali ndio imewatuma hawa wehu wa HC.
Ni vema sasa tukachukua tahadhari na makanjanja hawa wasiokuwa na aibu na wasioitakia mema Tanzania.
nawasilisha.